Unadanganyika na ndo maana ukafatilia hoja yao kwa hiyo na wewe ndo wale waleHao sio wanachama wa CDM, ni wa CCM wanacheza maigizo. Hatudanganyikiii.... :wink:
kwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.
Punguza hasira basi,ili baada ya oct usije jinyonga kwa mihasirakwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.
Hao sio wanachama wa CDM, ni wa CCM wanacheza maigizo. Hatudanganyikiii.... :wink:
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.
Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.
Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.
Habari nilizozipata ni kuwa baada ya hotuba ya Dr. Slaa aliyoitoa ya kujiondoa kwake CHADEMA pamoja na kueleza sababu mbalimbali zilizomfanya atoke, kuna baadhi ya wanachama wa CHADEMA wameamua kujiondoa kwenye chama hicho.
Hiyo imetokea Mbeya wilayani Mbozi, taarifa zaidi zinasema wanachama zaidi ya 20 wamejivua uanachama wa CHADEMA na wameamua kujiunga na chama cha mapinduzi na watatambulishwa rasmi siku ya jumamosi, tarehe 5 kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM wilayani hapo.
Tusubiri jumamosi kujua hali halisi ya mambo.
kwanini watanzania mna akili za kushikiwa kiasi hiki mtu akihama ccm kwenda chadema mnasema ni haki yake lakini akihama chadema kwenda ccm mnasema msaliti mara maigizi, msiwe na mahaba ya kupitiliza hivo mtashindwa hata kulea hata watoto wenu.
Wanachama wa chadema wakihama. Inageuzwa wanasema ni wana ccm. Ila wanaccm wakihama inaonekana ni kweli. Mbonaa hamtaki kukosolewa
Yaani sijui wamefanywa nini hawa watu, au tu wanaamua kujitoa akili wenyewe. Watu timamu wamekaa wamemsikiliza
Dr. Slaa na wakaona chama kimeuzwa kwa wenye kuitaka ikulu kwa nguvu zote, ndio hivyo wakaamua bora hata wajitoe
kwenye hiki chama kinachofanyiwa maamuzi na Mbowe na mkwewe.