Tetesi: UE kwa UDSM, 28/6/2011

Tetesi: UE kwa UDSM, 28/6/2011

kuulizia UE huku jamii forum ni uvivu wa kufikiri, chuo kina prospectus, kina website, una classmates wote hao huwezi kuwauliza? enzi zetu tukiwa chuo lazima utajua kila kitu kwani wanabandika kwenye bao za matangazo pale DARUSO,UTAWALA,FOE-COET,nk kote huko hujaona?? unahuduhuria masomo kweli ww? au ndio mtaalamu wa kudesa? Humu Jf ujue kuna watu wazima wameshamaliza masomo miaka mingi wanahitaji kujua mambo ya maana na sii mambo ya kusadikika.
Ngoja nitafute picha nyingine Mpwa, naona kama vile sijui nini vile
 
Meneja gani anayeshangaa hivyo!! We bado ni mwanafunzi tu, ebu fatilia ratiba ya UE unapoelekezwa hacha kiburi vinginevyo wata ku-disco kabla ujaingia ata kwenye chumba cha mtihani.

Hacha kiburi= Acha kiburi
ujaingia=Hujaingia
ata=Hata

Jifunze kiswahili kijana. Siyo unaandika andika madudu hapa
 
Shame on yourself! Nn maana ya grapvine? Mm ni manager anayejali na kutambua umuhm wa grapvine kwenye organisation yangu! Hujui, kaa kimya!

Haka katoto kamekariri madesa yake huko kanaleta uchafu humu...kila kitu grapevine...eti manager...manager my foot!
 
Tatizo hujui unalolionge! Je unajua maana ya grapvine kwenye organization yoyote na umuhm wake kwa managers? Kama hujui kaa kimya siyo lazima na ww uonekane umeandika kumbe huna unachokijua!

Punguza jazba kijana. Undergraduate tu unamwaga majivuni hayo yote jee ukipata masters na baade Ph D si utakuwa unawambia watu "shut up unajua thesis wewe?". Hatuendi hivyo bwana mdogo
 
Jitahd kuwa makini na kila litokalo kichwan mwako! Unaweza kuwa na mambo mengi kichwan lakin yote yakawa pumba. Kujua siku ya kuanza mtihan ndo kuwa mgeni wa chuo? Je nn maana ya tetesi? Jiangalie ww, kama huna jibu, kaa kimya!
''An article of no commercial value''
 
Ratiba ziko hizo kwenye tovuti ya chuo au unaweza pia kuzipata kwenye kitivo chako!
 
Meneja wa kitu gani wewe? Unajua tatizo lenu wanafunzi mnadanganyana sana mkiwa huko vyuoni utadhani wasomi ndo kwanza mnakuwa wenyewe! Tabia hii ipo tangia kwa form 2 mpaka chuo sijui kwa nini! Acha majigambo ya umeneja wewe, soma theories kwanza ukimaliza kubali ufundishwe kazi kabla hujaota huo umeneja wako.
 
Nimesikia tetesi nyingi mno kutoka kwa marafiki zangu wakisema UE kwa upande wa UDSM inaanza tarehe 28/06/2011, mwenye uhakika na habari hii naomba anijuze na averify.
umenikumbusha FOE(Faculty of Engineering) miaka ya tisini, duuuu....bila kusahau drawing board, calculator na over-coat....umenikumbusha mbali, karibu mahenge mkuu!
 
the romours has it!Hizi ni tetesi zilianzia tbs,zikashuka msapuni,zikarudi mdegree,zikaaenea mabibo,kampas na sasa zimetia miguu jamii forum. .ukweli ni huu,CASS time table cordinator Dr.Lymo juzi kasema hizi ni bigtym crap,so UE ni kwanzia tarehe 11 july.2011. .guys kueni na behaviour to take a glance on the noticeboard!,au ulize the respective area,huku JF ndo ofisi za udsm zilpo au kutafuta sifa.
ana wazimu hasa huyu kijana, umekuja kuringishia ka elimu kako ka juu huku, hapa kaazi ratiba notice bord udsm! Kwenda zako Mkosa mawanda weeh!
 
Nimesikia tetesi nyingi mno kutoka kwa marafiki zangu wakisema UE kwa upande wa UDSM inaanza tarehe 28/06/2011, mwenye uhakika na habari hii naomba anijuze na averify.

Kagarara, wewe ni mwanafunzi au ni kishoka? acha ukanjanja kama wa SHAYO, zingatia shule kaka.
 
Duuh kwa kweli toka nimejiunga JF nimejifunza mengi,mojawapo kubwa ni KUTHINK BIGGER kabla ya kufanya ki2 i.e kupost sumthng humu coz ukiboronga kama hili jamaa CRITICS za ajabu ztakufuata
 
Semista= siku 120, lectures= 30hrs, 2hrs/week, Seminar=15hrs, 1hr/week. Sasa wakibadili muda, baadhi ya modules hazitasomwa. Huo ndo uelewa wangu.
 
Semista= siku 120, lectures= 30hrs, 2hrs/week, Seminar=15hrs, 1hr/week. Sasa wakibadili muda, baadhi ya modules hazitasomwa. Huo ndo uelewa wangu.
aya mambo yanabaridirika anytime,provided mkandala na wenzake waameamua,na kwa sababu za msingi.
 
Humu JF kuna nini? wewe habari za chuo unakuja nazo hapa..ina maana hapo hakuna almanac...Wewe ndio wale wanauliza maandamano yanaanzia wapi bila kuuliza ya nini..tutakufukuza humu.
 
Shame on yourself! Nn maana ya grapvine? Mm ni manager anayejali na kutambua umuhm wa grapvine kwenye organisation yangu! Hujui, kaa kimya!
manager wa baa? Club?au duka?twambie bana,au ni manager wa sisimizi bar?
 
Back
Top Bottom