Mimi ni mpiga boxi tu kaka,Huyu chris lukosi nae ni baharia?maana mawazo yake yamekaa kama m2 anayefanya kazi isiyohitaji akili.
Watabana mwisho wataachia tu,prince mikosi, tatizo lako akili imeacha kufanya kazi kilichobaki ni mdomo tu, hata kuandika kwako vidole vinafuata mdomo unacheza vipi. Hivi umewahi kujiuliza nchi hii ina ffu wangapi, au jumla ya askari wote na wanajeshi wote ni wangapi ukalinganisha na idadi ya wananchi wa eneo husika!!!? Uwe unatumia akili kabla hujafa, sio kukimbilia kuandika tu. Na iyo fikira mbovu ulo nayo ndi hasa kichwa cha mwendawazimu cha wanaccm kinavyofanya kazi, kuhamisha policcm huku kupeleka kule, je huku unakowatoa kukiwaka, unafanya nini!!!? pimbi kweli wewe ... Jaribu kutumia akili, nguvu na maarifa kuwaza maendeleo na utaifa kwa ajili ya wanao, sio kukimbili kuandika tu, au tuseme wewe mgonjwa basi kama ccm wengi walivyo kinachopelekea watumi ugonjwa wa akili walio nao kufanya maamuzi kwa ajili ya maangamizi yao kesho.
Huko mtwara inabidi vijana wa FFU Ukonga AKA Ghasia kuu waende kupiga kambi kama mwezi tu na nina uhakika hatutasikia tena akina njomba wanchema tuchimumunye wala tuchiteme
Watabana mwisho wataachia tu,
Gesi ni ya nchi nzima na lazima itatoka tu, mbona sisi wahehe ulanzi wetu unatoka Iringa kwenda mikoa ya jirani na hatulalamiki?
Mbona tulishaambiwa mkiona maaandamano ni CDM
vipi ntwara mbona naona CUF TLP na CCM ndo wanakatwa???
Ndugai hebu nijibu tafaaadhali!
Umeona eeh!
Ila mimi hainipi mashaka. Shida yangu tu wananichelewesha kutumia gesi. Ngoja wapigwepigwe kwanza
Mmmmhh Mtwara nako!...