kuna tetesi kwamba kuna waraka mpya unaoanza kutumika mwez desemba, jaman wadau mlio karibu na hazina na utumishi tunaomba taarifa kamili juu ya tetesi hizi
Piga mingo zako mkuu haujafika walishawaongezea wabunge si ndo wanaowalinda hiyo kitu sidhani kama ipo. Nakushauri fanya kazi kulinafana na mshahara wako kama unaweza kukidhi mahitaji yako ka siku mbili fanya hizo.
Piga mingo zako mkuu haujafika walishawaongezea wabunge si ndo wanaowalinda hiyo kitu sidhani kama ipo. Nakushauri fanya kazi kulinafana na mshahara wako kama unaweza kukidhi mahitaji yako ka siku mbili fanya hizo.