nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Hakuna kitu kama unawajua sana....unlesss wewe ndo mama uliyemfumania mumeo na camera....kuna maswali yabidi ujiulize....huyo baba kaanza ku-cheat lini? kama alijua mumewe yu mgonjwa kwa nini afanye vituko vyote vile? kwanini ang'anga'anie na aseme kwa ujasiri sana kuwa yeye pale haondoki....na akazungumzia mali za mumewe na jinsi asivyoweza ziacha?mbwembwe zote zile zaweza kuwa zilikuwa kwa ajili ya ku-justify aliyoisha yafanya....manake kuna sumu za kuua taratibu si kila sumu inaua hapo kwa hapo....nyingine zachukua hata miaka,zinaanza figo,maini then mengineyo....nina mashaka sana...yale maandalizi ya fumanizi yanaleta maswali
If only walls could talk....
This is a very strong condemnation. Unless you have evidence with what you are saying.
This is a very strong condemnation. Unless you have evidence with what you are saying.
Pia yule mama hatakaa afumanie tena.
Nani amwoe halafu akafumaliwe live?
Nani amwoe halafu akafumaliwe live?
kwani huyo mama ana label usoni kwamba alifumania jamani?? akienda zake huko Abu Dhabi akakutana na zee lisilojua you tube au hata kijijini au hata mji mwingine unafikiri ni rahishi hivyo kufahamika? ni ngumu,anaweza kabisa kuolewa....she is not that famous...pia watu wanajua story but jina la huyo mama siyo kivile
Kwa staili ile hata asiyechovya chovya atacheza nae mbali.
Kwa sababu wanaume karibu woote ni potential chovya chovya
yule mama hata kama haujui kiswahili ,ukiona video lake kwenye you tube tu hauwezi kumuowa. Nina hakika hata huko Abuzabi tayari wameliona, hivi youtube iko banned abuzabi?
kwani huyo mama ana label usoni kwamba alifumania jamani?? akienda zake huko Abu Dhabi akakutana na zee lisilojua you tube au hata kijijini au hata mji mwingine unafikiri ni rahishi hivyo kufahamika? ni ngumu,anaweza kabisa kuolewa....she is not that famous...pia watu wanajua story but jina la huyo mama siyo kivile
Kwa kufuata mantiki hiyo, basi wanawake karibu woote nao ni potential chovywa chovywa.
Unatuonea. Ila wanaume kubali kataa, kama si leo kesho. Mna mioyo myepesi na ni wepesi kuingia kwenye mitego ya masister du. Nakubali wapo walio waaminifu ila ni wa chache na wengine ndio hivyo wanakuwa waaminifu kwa muda baadae wanajiunga kundini.
Kwa kufuata mantiki hiyo, basi wanawake karibu woote nao ni potential chovywa chovywa.
hehehe hivi unazani Nilham Rashed hajawashtua? yule mama hafai harusini ,hafai msibani. sredi klosedumeshakunywa naona....njoo upumzike sasa....mimi nimesema kwa wale ambao hawana access na internet....au wana access but hawajui tumia au interested na internet,wataifikiaaje you tube,na katika you tube waweze kuiona hiyo video ya huyo mama katika zote zilizopo you tube? unless huyo mama katika kuweka CV yake mezani aseme na hilo....