issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 255
wadau kuna news nimepenyezewa hapa kuwa dr slaa ataunguruma katika viwanja vya jangwani katika uzinduzi wa kampeni za UKAWA.chanzo hicho kimenyetisha kuwa dr ataenda kueleza ukweli kuwa CCM walitaka kumlubuni kwa kumweleza kuwa wangeweza mpa bilioni 4.7 kama angeweza kujiunga na chama hicho (CCM).chanzo hicho kimeenda mbali zaidi na kunidokeza kuwa dr slaa ataeleza jinsi CCM walivyoanza kumteka mke wake,mushumbusi kwa kusema kuwa kama mkewe angeweza kumshawishi dr na kujiunga CCM basi angepatiwa bilioni 2.1.baada ya kusema hayo mke wa dr slaa naye ataeleza ukweli wa jinsi mipango ilivyokuwa inafanywa.