The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,626
- 18,237
Mr. Zero, Bearing in mind JF's motto of daring to talk openly , would you please give your reasons? Thank you !
Murra, Mang'ana Murra?,
Moderator naomba nilindwe. Kwakuwa Shy aka majina kibao kwenye posting zake nyingi ametaja jina lake la Yona Fare maro, labda kwa kutaka umaarufu au vinginevyo, naomba niweke mambo kadhaa wazi. Hii ni kwa ajili ya kutoa hofu watu hapa JF.
Yona ni kijana mdogo tu hata 30 yrs hajafika, ana struggle na maisha sana tu na mhangaikaji mzuri tu. Ni muajiriwa kama technician wa PC na related items, kama anavyosema yeye mwenyewe kituo chake cha kazi ni UDSM (sipendi kwenda in details)
Yona sio Mtumishi wa usalama wa Taifa kabisaaaaaa. Ni Yanki tu anayependa umaarufu. Kitu kimoja ninachomsifia ni upiganaji wa maisha, hajabweteka ingawa mzee Maro ana hela za kutosha na amejiwekeza kwenye nyumba za kupanga.
Kwahiyo eleweni hivyo, hata Ethinktank anazua utata kila mara, anachofanya ni post za hapa anapeleka kule na vice versa. Ni COPYCAT mzuri sana, na muigiliziaji sana ni mara chache sana anatoa maoni yake binafsi; mengi anacopy mahali.
Ni kijana anayekuwa, akikua ataacha.
Mod kama nimeboa unaweza kudelete.
FD si ndio yule yule Shy aka shy@usalama.go.tz. anajaribu kutuzuga kwa kujifagilia. Huyu jamaa ana majina meng kwenye JF. Msitukieni
Chenge afe asife sisi tunataka fedha zetu arudishe pamoja na zile za TanGold.
Murra, Mang'ana Murra?,
Moderator naomba nilindwe. Kwakuwa Shy aka majina kibao kwenye posting zake nyingi ametaja jina lake la Yona Fare maro, labda kwa kutaka umaarufu au vinginevyo, naomba niweke mambo kadhaa wazi. Hii ni kwa ajili ya kutoa hofu watu hapa JF.
Yona ni kijana mdogo tu hata 30 yrs hajafika, ana struggle na maisha sana tu na mhangaikaji mzuri tu. Ni muajiriwa kama technician wa PC na related items, kama anavyosema yeye mwenyewe kituo chake cha kazi ni UDSM (sipendi kwenda in details)
Yona sio Mtumishi wa usalama wa Taifa kabisaaaaaa. Ni Yanki tu anayependa umaarufu. Kitu kimoja ninachomsifia ni upiganaji wa maisha, hajabweteka ingawa mzee Maro ana hela za kutosha na amejiwekeza kwenye nyumba za kupanga.
Kwahiyo eleweni hivyo, hata Ethinktank anazua utata kila mara, anachofanya ni post za hapa anapeleka kule na vice versa. Ni COPYCAT mzuri sana, na muigiliziaji sana ni mara chache sana anatoa maoni yake binafsi; mengi anacopy mahali.
Ni kijana anayekuwa, akikua ataacha.
Mod kama nimeboa unaweza kudelete.
Tangia jana usiku nimekuwa nahaha kuwatafutia habari hizi lakini sijapata ukweli .Uvumi ni kwamba Vijisent Chenge amekula sumu na ana hali mbaya .Kuna mtu kanipigia simu tena muda huu anasema Chenge kafa mimi nimekataa na sasa nimekimbilia hapa kuuliza .Je kuna mwenye ukweli jamani wa tukio hili ?
Kuna taarifa ambazo si rasimi zinaseme Mheshimiwa Chenge kajipia risasi, hebu mriopo Bongo tuhabarisheni.
Nilikuwa nasoma habari kwa Michuzi na akasema amewasiliana na mai waifu wake na Chenge na kwamba Chenge yu mzima. Tetesi za kwanza zilisema kuwa kanywa sumu na kufa na hii ya pili ya kujitwanga risasi sijui tushike lipi.
Ila kifupi ni kuwa familia yake inakanusha vikali kuhusu tuhuma za kujiua kwa mwakilishi wa wananchi wa jimbo lake. Na zaidi wamekuwa wakisikitika kwa kupokea simu na meseji za pole.
Wenye habari kamili watujuze!
Tangia jana usiku nimekuwa nahaha kuwatafutia habari hizi lakini sijapata ukweli .Uvumi ni kwamba Vijisent Chenge amekula sumu na ana hali mbaya .Kuna mtu kanipigia simu tena muda huu anasema Chenge kafa mimi nimekataa na sasa nimekimbilia hapa kuuliza .Je kuna mwenye ukweli jamani wa tukio hili ?
Mimi nimeleta hapa kuuliza swali .Sina haja kumuombea Chenge kifo .Kifo ni adhabu na kila mmoja anaogopa kifo.Habari gizi zimetanda kila kona na ndiyo maana nimekuja hapa .Kama zilikuwepo hapa mimi sikuziona kabisa .Mnisamehee sana ndugu zanguni na again simuombei Chenge kifo maana tutakosa kujua mengi .Long live ili tujue ukweli bwana Chenge .
Kwi kwi kwi,
Naona watu wengi kweli wanataka kuona Chenge akiwa kaburini amekufa kabla ya kupelekwa kwenye moto wa Jehanum achomwe moto kwa vifo vyote vya watoto wachanga na mama wajawazito alivyosababisha hapo Tanzania.
Hili liwe ni onyo kwa mafisadi wote ndani ya ccm. Ukifanya ufisadi na kuwadhulumu watanzania, chuki yao dhidi yako inatosha tu kukuweka tumbo moto na ukaishi maisha ya wasiwasi for the rest of your life.
Just imagine how many pple want this guy dead!