Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,180
- 2,453
Mkuu ni ngumu kufahamu maana muda huu ni usiku sana. Mm nipo guest house nimelala, binafsi nimelisikia pia likiwa lipo mwishoni.Poleni sana na Mungu awanusuru
Vipi hali halisi na usalama kwa ujumla kwa muda huu usalama wa watu na mali zenu upo vipi?