Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 6,458
- 8,796
Eti unasema?wasitegemee tutachanga tena
Eti unasema?wasitegemee tutachanga tena
Nani atakusanya michango?Poleni wananchi wa huko.
Poleni. Sasa muanze kujipanga.Limepita tetemeko muda si mrefu
Usiku huu saa saba na dakika 23 mjn Bukoba tetemeko dogo limepita limechukua kama sekunde 15 hivi.
Kama una ndugu yako bukoba mwambie alale kwa tension maana huwa linakuja kwa series of waves hivyo linaweza jirudia mda wowote.
Nilikua busy na movie kupoteza mawazo kwa yaliyojiri nchini nikaona glass inacheza mezani nikamute tv ndo nikalisikia kwa sauti likiunguruma.
Kwani ulichanga ?wasitegemee tutachanga tena
Aisee 4.9 mbona kubwa hilo au?Magnitude ya tetemeko ni 4.9 limetokea 12.35am EAT
Kweli mkuuwasitegemee tutachanga tena
Haujasahau kidhungu nyie wahaya wapuuzi sana..! Eti PERHAPS..Kama nilivyo aeleza niko bukoba
Nimesikia mtetemeko wa ardhi ukipita mda wa usiku huu nashukukuru hailikuwa kubwa perhaps haijareta madhara
Ungesema hii earthquake haikuwa na too much affects kwa mfano for example foristance nyumba hazija fall down.

Limepita tetemeko muda si mrefu
Usiku huu saa saba na dakika 23 mjn Bukoba tetemeko dogo limepita limechukua kama sekunde 15 hivi.
Kama una ndugu yako bukoba mwambie alale kwa tension maana huwa linakuja kwa series of waves hivyo linaweza jirudia mda wowote.
Nilikua busy na movie kupoteza mawazo kwa yaliyojiri nchini nikaona glass inacheza mezani nikamute tv ndo nikalisikia kwa sauti likiunguruma.
wasitegemee tutachanga tena