Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,811
- 110,060
Za asubuh waku uku Mbeya mjin tetemeko limepita yan sio poa kabisa apa usingiz umekat wa watalam mtujuze shidann
Kwamba hujui Mbeya ipo bonde la ufa?
Na ni kitu cha kawaida maeneo yalipo bonde la ufa kupata matetemeko madogo ya ardhi...
Kwa leo tetemeko lilikuwa la kipimo cha 4.7, hili unalihisi kabisa hata kama huna uzoefu wa matetemeko...