kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Poleni mlioathiriwa. Mkuu hili nalo ni jambo la kisiasa?
"Watu wa majanga"Huo ni ukanda wa matetemeko kuanzia Kagera,Kigoma,Katavi, Rukwa, hadi Mbeya.
Wanyama wanapiga mayoweBbc wametangaza kuwa limetokea saa 9:34 usiku wa kuamkia leo watu na wanyama wamesikika wakipiga mayowe,,,bbc wamesema watatoa updates hivi punde endelea kuitegea sikio maana vyombo vyetu vya habari vimelala usingizi wa pono