support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 152
- 14
Kuna tetemeko dogo limepiga Leo kigoma wilaya ya buhigwe alfajiri
Hiyo ni Mizimu tu ya Kiha inamtakia Safari Njema Makamu wa Rais Dkt. Philip Isidori Mpango katika Ziara yake ya kwenda kusafisha Nyota yake huko nchini Singapore.Kuna tetemeko dogo limepiga Leo kigoma wilaya ya buhigwe alfajiri
We jamaa ngoja Waha waje wakusute.Hiyo ni Mizimu tu ya Kiha inamtakia Safari Njema Makamu wa Rais Dkt. Philip Isidori Mpango katika Ziara yake ya kwenda kusafisha Nyota yake huko nchini Singapore.
Ni Watani zangu na nawapiga Madongo.We jamaa ngoja Waha waje wakusute.
Wabishi wale jamaa hatari