Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,626
wapi huko?Tetemeko la ardhi limepiga tena kwa sekunde Kama 10 hv muda sio mrefu
wapi huko?Tetemeko la ardhi limepiga tena kwa sekunde Kama 10 hv muda sio mrefu
Ha ha ha ha ha aisee kweli ni lazima uwe na roho ngumu sanaUna roho ngumu sana ! Unaweza kuangalia TBC ?
kila mtu anajua .View attachment 398470
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameahirisha ziara yake* ya siku tatu Nchini Zambia* ambapo pamoja na mambo mengine ilikuwa ahudhurie Sherehe* za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Sita wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu, ili aweze kushughulikia tatizo laTetemeko la ardhi lililosababisha vifo vya watu 16, mamia wakiwa wamejeruhiwa na nyumba kadhaa* zimebomoka Mkoania Kagera
Kufuatia kuahirishwa kwa ziara hiyo Mheshimiwa Rais Dkt.Magufuli amemtuma Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Kumuwakilisha katika Sherehe hizo za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Sita wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu
Sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Sita wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu zinatarajiwa kufanyika kesho tarehe 13 Septemba, 2016 katika jiji la Lusaka
Jaffar Haniu
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi
Dar es salaam
Nani kwakwambia ushangae?Tungemshangaa kwenda Zambia sio kutokwenda Zambia raia zako wako kwenye majanga wewe unasepa zako bora kashauriwa vizuri kwa Mara ya kwanza
Usiwasemee wengine.kila mtu anajua .
swissme
ningekuwa mod basi huu uzi ningeunganisha.na ule mwingine.Usiwasemee wengine.