Dr. Zaganza JF-Expert Member Jul 15, 2014 1,196 1,663 Sep 8, 2021 #1 Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa
Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa
Dr. Zaganza JF-Expert Member Jul 15, 2014 1,196 1,663 Sep 8, 2021 Thread starter #2 Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa. Piga 0713-039 875 kwa maelezo zaidi View attachment 1929257
Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa. Piga 0713-039 875 kwa maelezo zaidi View attachment 1929257
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Jul 27, 2017 8,015 13,635 Sep 8, 2021 #3 Mkuu naomba uweke maelezo zaidi Mkuu maana hii picha nao ni kama kichwa cha habari vile. Naomba uelezee yafuatayo: Mafunzo yanatolewa kwa njia gani? Kila mkoa mnapatikana wapi? (binafsi nahitai kujua Arusha) Aina ya hizo sabuni Hiyo kozi ni lini inaanza? Ni mafunzo ya muda gani? Mkuu nimeona umeweka namba ya simu ila hata hapa unaweza kujibu kurahisisha mambo.
Mkuu naomba uweke maelezo zaidi Mkuu maana hii picha nao ni kama kichwa cha habari vile. Naomba uelezee yafuatayo: Mafunzo yanatolewa kwa njia gani? Kila mkoa mnapatikana wapi? (binafsi nahitai kujua Arusha) Aina ya hizo sabuni Hiyo kozi ni lini inaanza? Ni mafunzo ya muda gani? Mkuu nimeona umeweka namba ya simu ila hata hapa unaweza kujibu kurahisisha mambo.