NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 309
1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
si kila kisichoonekana ni cha kishenzi... Vingine vizuri1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
We unafanyaga na nguo ?
where have u been?
Unazima taa mkuu? Dem wako anatisha nini?1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
Nilikuwa niko maternity jamani The Boss, uzazi mtamu!!
- Sio lazima watu wavue nguo ndipo lifanyike, lilifanyika toka wakati ule binaadamu hajaanza kuvaa nguo!, na kwa sasa linaweza kufanyika hata bila hata wahusika kuvua nguo na kisasa zaidi kwa wahusika kuvaa nguo rasmi ya tendo hilo!.
- Sio lazima watu wazime taa as if lazima lifanyike usiku wa giza tena ndani chumba!. Linafanyika mchana kweupe tena popote hata mahala pa wazi huku waki wakishuhudia!.
- Vijana wa kiume, wanasimuliana jinsi wanavyofanya!, sijui kwa wakike!.
- Tendo hilo limebuniwa na shetani ili kumpa majaribu binaadamu, kama lengo la Mungu lilikuwa procreation tuu, angeweza kuifanya ifanyike kwa kusikana tuu mikono kama kusalimiana, ila ni shetani ndio alipendekeza lifanyike hivyo, na kwa baadhi ya dini, tukiwemo sisi Wakatoliki, tendo hilo no dhambi, ndio maana makasisi wetu hawalifanyi!.
- Kufuatia tendo holo kuwa dhambi, asili ya kila binaadamu ni tendo hilo, hivyo binaadamu anazaliwa kwa dhambi ya asili, ambayo huondolewa kwa kubatizwa!.
- Mtu pekee aliyekingiwa dhambi ya asili ni Bikira Maria, alimzaa mtoto Yesu, bila kufanyika "dhambi ya asili", kwa kupata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu hivyo kutofanyika kwa tendo hilo!.
- Mungu baada ya kuumba ulimwengu, aliwaruhusu Adamu na Eva kufanya yote isipokuwa tendo hilo, na ni baada ya kulifanya, wakajitambua wako uchi, wakaadhibiwa kufukuzwa ndani ya bstani ya Adeni.
- Tendo hilo ndio source ya dhambi zote humu duniani na laana zote ukiwemo ugonjwa hatari wa ukimwi.
- Tendo holo ndilo limeponza wafalme na mashujaa kibao kuangamia akiwemo Samsoni, Farao hata Malkia Cleopatra, alipotaka kulazimishwa kufanya na asiempenda, kuliko kufanywa akajiua na nyoka cobra.
- Tendo hilo, ndilo tendo linalofanyika kuliko tendo jingine lolote ukiondoa kula, kuny.. na kupumua!. Biashara ya tendo hilo ndio biashara kuu ya kwanza duniani, ni ndio kazi iliyotoa ajira kubwa zaidi kwa watu wengi zaidi duniani, kwa wengine kujiuza na wengine kununuliwa jumla kwa mahari, huku wale wanatoa huduma hiyo kwa wateja tofauti tofauti wakiitwa majina mabaya ya mala.. au chang.. huku wale waloajiriwa kutoa huduma hiyo kwa mteja moja moja wakiitwa majina ya heshima mrs, wife, mke au mama fulani!.
Yote kwa yote, ni tendo hilo hilo!.
Pasco
1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha
1. Ndo mnavua nguo
2. Ndo mana mnazima taa
3. Ndo mana hamsimulii watu jinsi mnavyolifanya
nawakilisha