Tenda wema uende zako

Tenda wema uende zako

ErickjrJunior

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2015
Posts
328
Reaction score
78
Huu msemo nimeamini sasa!! Japo nilikua nauamini, lakini sasa nimezidi kuuamini. Nimetoka Dar nimekuja mkoani kikazi, nyumba nayoishi pembeni kuna jirani nilietokea kupatana nae, na mimi kuja mtaa huu, imekua kama neema kwake.

Kiukwel jamaa hayupo vizuri kimaisha hata ukimuangalia tuu utajua hilo, anyway mimi kma kawaida uwa siangalii sanaa mambo kma hayo uwa naangalia urafiki mwema, jamaa amekua rafik yangu wa karibu na mwenyej wangu pia na nimekua namsaidia sanaa, hana chakula, namnunulia chakula mpka vocha namtumia!

Nikiwa home anakuja tunachil na mara nyingi unieleza matatizo yake namsaidia na nimegundua mimi ndie naemsaidia sanaa kuliko hata rafiki zake niliomkuta nao.

Hapa hapa mtaani kuna binti flani, huyu binti toka mwanzo amekua akionyesha dalili za kunipenda. Sasa leo nmekutana nae mahali huyu binti akaanza kulalamika, " ohoo Erick kumbe wewe malaya una tabia mbaya mhuni".Maneno Kibao! Nikashangaa, nikamuuliza una uhakika? Akaniambia ndio!Nikamuuliza ushahidi?

Binti akatoa simu kucheki, msg za mshkaji huyu jirani na mwenyej wangu, msg zinaniponda vibayaaa sanaa!! Maneno mengiii sanaa ya uongo juu yangu, nilipomaliza kuzisoma, nikamwambia binti, kma huu ndio ushahidi na umemuamini jamaa, sawa mungu anajua!! Kisha nikaondoka zangu. Nimefika home, nimemkuta jamaa ananisubil kwa nje, baada ya salam, tukaingia ndan, sikumuonyesha dalil yyte mbaya, tukiwa sebuleni jamaa akaniomba nimtumie credit, nikamtumia.

Tumekaa sebuleni mpaka saa tano akaondoka. Ila kabla ajaondoka binti alipiga sanaa simu sikupokea! Sijui huyu jamaa nimemkosea nini mpka anifanyie hivi? Au wema wangu kwake? Yaani pamoja na kujifanya rafik, upande wa pili ananipondea vibayaa! Ama kweli tenda wema uende zako!
 
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake. Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!!
Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao. Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi?? Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia. Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!

Labda umeingilia gepu lake...

Chunguza may be jamaahiyo papuchi nae ailikua anaiwinda
 
Siku hizi asilimia kubwa ya ugomvi kwa vijana ni wasichana au hela so u better watch out
 
Na kwann umeshndwa kumuuliza jamaaa mwenyew..??
 
Jamaa snitch..Ila ongea nae..Uenda ana yake ya moyoni..
Ila Hata Kma Ana Yake, Hivi Mkuu Mimi Nahusika Vipi Sasa?? Binafsi Sijawah Msema Wala Nn....Na Isitoshe Hata Huyo Binti Mwenywe, Sinaga Time Nae Na Hata Sielew Huyu Binti Namba Yangu Aliipataga Wapi?? Sikuwah Kukaa Nae Mahali Wala Kupga Nae Stori Zaid Ya Kufahamiana Na Salamu Basi!! Na Hata Kuna Muda Binti Huwatuma Wadogo Zake Kwangu Kuwa Ananipenda Lakin Huwa Napotezea Tuu, Huyu Bwana Yy Sijui Kawaje Yaani...Kumbe Yy Kazi Kunisema Mbayaa Tuuu!!!
 
We endelea kumsaidia tu wala usionyeshe dalili miezi 5 mingi atapata jibu
 
Si vizuri kumwamini binadamu yeyote, wakati wowote mtu anabadilika! Huyo jamaa achana nae sio mtu mwema kwako, inakuwaje akuseme vibaya wakati wewe ni msaada ktk maisha yake!
 
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake.

Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!

Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao.

Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi??

Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia.

Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!


Hapo ni hivi. jamaa anamtaka huyo binti,saasa kila akienda kwa binti huyo binti anamuuliza au anakusifia wewe ndio maana jamaa anamkatisha tamaa
 
Huu Uzi ungeuleta juma 5 ingekua vizuri sana! Nitajitahidi nikushauri Ila sio Leo wala Kesho!!! All in all pole sana, binadamu ndivyo tulivyo!! Gombania Goli.
 
Huu Uzi ungeuleta juma 5 ingekua vizuri sana! Nitajitahidi nikushauri Ila sio Leo wala Kesho!!! All in all pole sana, binadamu ndivyo tulivyo!! Gombania Goli.

Thank Yu Bro!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom