Tenda wema uende zako

Tenda wema uende zako

Mwanangu kuwa uyaoneee... sio majumba na magarii! kuwa uyaone ya wanadamu.
KAPIGE KURA LEO KWA IKIPTA NDI BASI TENA MPK 2019 SERIKALI ZA MITAA NA 2020 NDIO KAMA HUU TENA WA RAIS,WABUNGE&MADIWANI.

mimi nampgia Mzee wa Monduli na sisikilizi fitina za watu nampenda Lowassa full stop!
 
Pole sana,jambo lakuambiwa daima linauma,na kwanini ukae kimnya tafuta siku muafaka ukaenae chini kiume umweleze au umulize kosa lako nini mpaka anakusema vibaya kwa watu? au umefanya makosa kumsaidia? usifiche shuru mwenyezi mungu amekuonyesha mtu kama huyo hashindwi hata sumu kukutilia,mwambie ajijue na hapo kwako mwenyewe atapaona kituo cha police....
 
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake.

Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!

Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao.

Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi??

Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia.

Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!

Huo msemo kwako umepoteza maana, wema ni Kati yako ww, unayemtendea pamoja na Mungu wako, kuja kwako hapa na kututangazia huo wema wako na kumuanika huyo jamaa hustahili kabisa kutumia huo msemo.... Ungemueleza jamaa kuhusu hayo anayoyafanya na kama akashindwa kukuelewa bas ni kumuepuka na kupiga kimya ibaki siri moyoni mwako na Mungu angekulipa kwa yote uliyomtendea na sivyo ulivyo fanya.
 
Huo msemo kwako umepoteza maana, wema ni Kati yako ww, unayemtendea pamoja na Mungu wako, kuja kwako hapa na kututangazia huo wema wako na kumuanika huyo jamaa hustahili kabisa kutumia huo msemo.... Ungemueleza jamaa kuhusu hayo anayoyafanya na kama akashindwa kukuelewa bas ni kumuepuka na kupiga kimya ibaki siri moyoni mwako na Mungu angekulipa kwa yote uliyomtendea na sivyo ulivyo fanya.
Ww Unamfahamu Mpka Useme Nimemuanika?? Then Ulitaka Nikurupuke Tuu Kuanza Kumwambia?? Then Point Yangu Kubwa Si Kutafuta Kuyamaliza Na Huyu Jamaa Ila Nilitaka Watu Wajue Jinsi Binadamu Na Marafik Walivyo!! Yy Aniseme Weeeee...Its Ok!!!
 
Huu Msemo Nimeamin Sasa!! Japo Nilikua Nauamin, Lakin Sasa Nimezidi Kuuamini. Nimetoka Dar Nimekuja Mkoan Kikaz, Nyumba Nayoishi Pemben Kuna Jirani Nilietokea Kupatana Nae, Na Mimi Kuja Mtaa Huu, Imekua Kma Neema Kwake.

Kiukwel Jamaa Hayupo Vizuri Kimaisha Hata Ukimuangalia Tuu Utajua Hilo, Anyway Mimi Kma Kawaida Uwa Siangalii Sanaa Mambo Kma Hayo Uwa Naangalia Urafik Mwema, Jamaa Amekua Rafik Yangu Wa Karibu Na Mwenyej Wangu Pia Na Nimekua Namsaidia Sanaa, Hana Chakula, Namnunulia Chakula Mpka Vocha Namtumia!

Nikiwa Home Anakuja Tunachil Na Mara Nyingi Unieleza Matatizo Yake Namsaidia Na Nimegundua Mimi Ndie Naemsaidia Sanaa Kuliko Hata Rafik Zake Niliomkuta Nao.

Hapa Hapa Mtaan Kuna Binti Flani, Huyu Binti Toka Mwnazo Amekua Akionyesha Dalili Za Kunipenda. Sasa Leo Nmekutana Nae Mahali Huyu Binti Akaanza Kulalamika, " Ohoo Erick Kumbe Ww Malaya Una Tabia Mbaya Mhuni"....Maneno Kibao!! Nikashangaa, Nikamuuliza Una Uhakika?? Akaniambia Ndio!! Nikamuuliza Ushahidi??

Binti Akatoa Simu Kucheki, Msg Za Mshkaji Huyu Jiran Na Mwenyej Wangu, Msg Zinaniponda Vibayaaa Sanaaaa!! Maneno Mengiii Sanaa Ya Uongo Juu Yangu, Nilipomaliza Kuzisoma, Nikamwambia Binti, Kma Huu Ndio Ushahidi Na Umemuamini Jamaa, Sawa Mungu Anajua!! Kisha Nikaondoka Zangu. Nimefika Home, Nimemkuta Jamaa Ananisubil Kwa Nje, Baada Ya Salam, Tukaingia Ndan, Sikumuonyesha Dalil Yyte Mbaya, Tukiwa Sebulen Jamaa Akaniomba Nimtumie Credit, Nikamtumia.

Tumekaa Sebulen Mpka Saa Tano Akaondoka. Ila Kabla Ajaondoka Binti Alipiga Sanaa Simu Sikupokea!! Sijui Huyu Jamaa Nimemkosea Nini Mpka Anifanyie Hivi?? Au Wema Wangu Kwake?? Yaan Pamoja Na Kujifanya Rafik, Upande Wa Pili Ananipondea Vibayaa!!!! Ama Kweli Tenda Wema Uende Zako!!

sure sm tm cna marafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom