Tenda wema uende zako

Feb 7, 2017
11
26
Toka mpenzi wangu asimamishwe kazi ni mtu mwenye mawazo ila huwa namfariji, tatizo linakuja ninampomsaidia huwa nampa elfu 5 kama mahitaji kwa siku sasa jana nilimpa 1500 aende kula chakula cha jioni kwa mama ntilie

Toka jana analalamika hela gani ninayompa nilijisikia vibaya mno maana mimi mwenyewe silipwi mshahara nabahatisha huko kazini akaanza kunitukana kuwa atakapolipwa mafao yake tusijuane tena kila mtu afanye yake nikamwambia poa.

Hakika sisi binadamu sijui tumeumbwaje nimeamua tu nifanye maisha yangu sina jinsi
 
mblock mpotezee.. kwanza kwa nini unampa mwanaume hela ? kwaa nini atii?
acha ujinga iyo pesa save unajua hiyo 5000 unayoompa kila siku ungekuwa unaweka kwenye kibubu ungekuwa na sh ngapi?
5000*365=1,825,000tsh .. na in usd 700usd na zaidi wewe acha ujinga wewe utakufa msikini..

halafu siku anaenda kukutia unatoa pesa wewe ya gesti, chakula, vinywaji na nauli.. uwii zaidiya ukichaa huu
 
mblock mpotezee.. kwanza kwa nini unampa mwanaume hela ? kwaa nini atii?
acha ujinga iyo pesa save unajua hiyo 5000 unayoompa kila siku ungekuwa unaweka kwenye kibubu ungekuwa na sh ngapi?
5000*365=1,825,000tsh .. na in usd 700usd na zaidi wewe acha ujinga wewe utakufa msikini..

halafu siku anaenda kukutia unatoa pesa wewe ya gesti, chakula, vinywaji na nauli.. uwii zaidiya ukichaa huu
Ni mapenzi tu
 
Una moyo wa kipekee keshazoea hela unayompa anampa mchepuko wake sasa ulovyopunhiza dau lazima alalamike
 
mblock mpotezee.. kwanza kwa nini unampa mwanaume hela ? kwaa nini atii?
acha ujinga iyo pesa save unajua hiyo 5000 unayoompa kila siku ungekuwa unaweka kwenye kibubu ungekuwa na sh ngapi?
5000*365=1,825,000tsh .. na in usd 700usd na zaidi wewe acha ujinga wewe utakufa msikini..

halafu siku anaenda kukutia unatoa pesa wewe ya gesti, chakula, vinywaji na nauli.. uwii zaidiya ukichaa huu
haya dada mpenzi ni maneno yako au kuna mtu kakuandikia....!!???
 
Mimi naona ujinga ni matokeo ya huyo mwanaume lakini dada alikua yupo sahihi.
Unataka kuniambia mwanamke kumpa mpenzi wake hela ni ujinga?
Mkuu Sio ujinga na niseme tu ninnjia ya kuonyesha upendo lakini Mara nyingi bozo hela zinatumika ndivyo sivyo..ahhhhh siku zingerudi nyuma nisingefanya ule ujinga mwanaume akizoea kupewa hela anaonea sana..anajiona nae ana haki na hela za watu... Again pole sana mtoa mada..ila usirudie tens maisha yako yote
 
Mkuu Sio ujinga na niseme tu ninnjia ya kuonyesha upendo lakini Mara nyingi bozo hela zinatumika ndivyo sivyo..ahhhhh siku zingerudi nyuma nisingefanya ule ujinga mwanaume akizoea kupewa hela anaonea sana..anajiona nae ana haki na hela za watu... Again pole sana mtoa mada..ila usirudie tens maisha yako yote
Kwani ni nani mwenye haki na hela za watu?
 
Toka mpenzi wangu asimamishwe kazi ni mtu mwenye mawazo ila huwa namfariji, tatizo linakuja ninampomsaidia huwa nampa elfu 5 kama mahitaji kwa siku sasa jana nilimpa 1500 aende kula chakula cha jioni kwa mama ntilie toka jana analalamika ela gani ninayompa nilijisikia vibaya mno mana mi mwenyewe silipwi mshahara nabahatisha huko kazini akaanza kunitukana kuwa atakapoliwa mafao yake tusijuane tena kila mtu afanye yake nikamwambia poa.

hakika sisi binadamu sijui tumeumbwaje nimeamua tu nifanye maisha yangu sina jinsi


Dah, Shem, mbona huyo jamaa si mwelewa kabisa? duh, amepata mke mzuri hivyo analeta shida tena? Yeye anafikiri ela unatoa wapi? majukumu ya kiume hayo, na kama hana kazi anavunga tu na kuwa mpole!!!!! Huyo kuwa mme, duh, sijui Dada!!!
 
Kwani ni nani mwenye haki na hela za watu?
mkuu hakuna mwenye haki na hela za watu.. Ila wapenzi waliodekezwa km Wa mtoa mada ndio kwa ujinga wao wanahisi wana haki na hela za watu kwamba wao halali yao wapewe tu na zikipungua kiwango walichozoeshwa inakuwa ugomvi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom