mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Wakuu mimi ni mfanya biashara mdogo. biashara ya simu nataka marekebisho ya duka langu.
Naitaji matengenezo ya duka 2
La kwanza hapakuwepo na duka ni mahali pembeni flani kama mita 3 kwa 8, patakuwa na duka lakini stoo ya duka ambalo lipo
Panahitaji
1. Mlango wa kioo
2. Kabati dogo la kioo
3. Kikabati kidogo
4. Vya kutudukia simu
5. Kugawa kwa bati ngumu.
6. Feni
7. Ac
8. Sofa nzuri kwa mbele.
9. Juu pawe na pvc
6. Stoo iwe na nyuma ya hiki chum a
A) makabati ya usalama ya kutengeneza ya kawaida
B.)Mashelfu mengi mno mno
Duka la pili ambalo lipo linataka marekebisho liwe kama la pichani
Bajeti yangu ni milioni 4
Kama una ushauri na utanifaa ntauchukua.
Karibu pm
Naitaji matengenezo ya duka 2
La kwanza hapakuwepo na duka ni mahali pembeni flani kama mita 3 kwa 8, patakuwa na duka lakini stoo ya duka ambalo lipo
Panahitaji
1. Mlango wa kioo
2. Kabati dogo la kioo
3. Kikabati kidogo
4. Vya kutudukia simu
5. Kugawa kwa bati ngumu.
6. Feni
7. Ac
8. Sofa nzuri kwa mbele.
9. Juu pawe na pvc
6. Stoo iwe na nyuma ya hiki chum a
A) makabati ya usalama ya kutengeneza ya kawaida
B.)Mashelfu mengi mno mno
Duka la pili ambalo lipo linataka marekebisho liwe kama la pichani
Bajeti yangu ni milioni 4
Kama una ushauri na utanifaa ntauchukua.
Karibu pm