Tempting

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,845
2,667
0334cf13-ca1e-4131-85ff-2d1b2addebda.jpg
 
Mh!hiyo mikao mbona inatisha sana,utafikili farasi anatamani kumbeba mwanadamu angalau kidogo,ili afike haraka aendako!!
 
Nami nimeziweka tu ili tufaidi wote wandugu. Wapo wliofanya hii kazi
 
Art at its best!
Miaka yangu yote ya uhai nimekuwa natamani mno kuwa artist wa kuchora, lakini kufikia wa leo naanza kuogopa kuwa nishachelewa...
^^^**^***Umri huu nao ishu sana!:coffee:
 
Art at its best!
Miaka yangu yote ya uhai nimekuwa natamani mno kuwa artist wa kuchora, lakini kufikia wa leo naanza kuogopa kuwa nishachelewa...
^^^**^***Umri huu nao ishu sana!:coffee:

mkuu hujachelewa. Uchoraji si soka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom