Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,845
- 2,667
dah mzee una macho. hata mi ndo nagundua sasaDemu wa mwisho alimkopi halle berry
Art at its best!
Miaka yangu yote ya uhai nimekuwa natamani mno kuwa artist wa kuchora, lakini kufikia wa leo naanza kuogopa kuwa nishachelewa...
^^^**^***Umri huu nao ishu sana!:coffee:
Hizi sasa ni nje ya maadili jamani au?
labda tupate tafsiri ya maadili maana siku hizi hata RA na EL wanasisitizia maadili
I love this picture
Hapana mkuu,haya mambo yapo!hizi picha zinaeleza binadamu alivyo in real life context!!Hizi sasa ni nje ya maadili jamani au?
Mkuu naona hilo pozi limekuvutia sana!I love this picture
mimi nimeupenda sana huu mkao!!it portrays how lady is ready for any things,that she shall be asked to do by ...!