Pori la Ugalla lina tembo wengi sanaKatavi huk ndani ndani
Wewe yoda ulishawahi kwenda musoma? Ukiwa njiani unakutana nao wamesimama katikati ya barabara inakubidi usubiri mpaka watoke,ni wao ndio wanatangatanga wanashindwa kubaki maporini wanazurura mpaka kwenye lami! Mali asili(askari wanyama pori) sijui wana kazi gani, na wanalipwa vizuri tu 🙌🏾Kwa nini mmeenda kuishi karibu na Tembo? Hameni.
Tatizo nipo mbali.😂😂😂Lete zana tuchukue mali
Yoda kwani leo umekunywa nini, naona unatembea na concept moja tu “hameni”😁Hamieni sehemu ya mbali na hifadhi.
Kwani hao askari wa TANAPA na Tawa hujaona uzi wao wa anonymous ukitoa kero jukwaani...Wewe yoda ulishawahi kwenda musoma? Ukiwa njiani unakutana nao wamesimama katikati ya barabara inakubidi usubiri mpaka watoke,ni wao ndio wanatangatanga wanashindwa kubaki maporini wanazurura mpaka kwenye lami! Mali asili(askari wanyama pori) sijui wana kazi gani, na wanalipwa vizuri tu 🙌🏾
Ungempata Kinana ingependezaHapan boss
Jiongeze nchi yetu soteSijauona ila hao tanapa nahsi wameshashindwa make mwaka jan walimuua mmoja toka hapo hawajulud kuja kuwafukuza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Abdulrahmani mbogamboga akimuona damu zinasisimka.
ila si inaacha kinyesi kama mbolea?,,Kwa hilo tumebalikiwa ila shida inakuja kweny mazao especially hawa wanawake walio lima mbogamboga yaan tembo wanavuruga
Hakuna simba kweli hapoSio karibu sana ni kijiji cha pili kutoka hifadhi