Tema mate tumchape

Bundajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
244
47
Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo?
 
Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo?

Mama alikuwa ananiambia kuwa kesho atanipeleka kwa Lila, demu niliyempenda kuliko wote enzi hizo, kidume nakuwa mpoleee!
 
Back
Top Bottom