B Bundajo JF-Expert Member Nov 8, 2011 244 47 Nov 14, 2011 #1 Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo?
Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo?
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 Nov 15, 2011 #4 Bundajo said: Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo? Click to expand... Mama alikuwa ananiambia kuwa kesho atanipeleka kwa Lila, demu niliyempenda kuliko wote enzi hizo, kidume nakuwa mpoleee!
Bundajo said: Haka kamsemo kalikuwa kanatumika sana wakati nikiwa mdogo. Je kitu gani na wewe ulikuwa unadanganyiwa ili usiendelee kufanya fujo? Click to expand... Mama alikuwa ananiambia kuwa kesho atanipeleka kwa Lila, demu niliyempenda kuliko wote enzi hizo, kidume nakuwa mpoleee!
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,598 52,298 Nov 15, 2011 #5 mwita na bundajo si ndio huyohuyo? alafu ni kama wako ban wote.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Nov 15, 2011 #6 Inkoskaz said: mwita na bundajo si ndio huyohuyo? Click to expand... Dah!! JF haiishi maajabu..