Tell Us About Your Weakness

Mimi mwenyewe huo sistahimili kabisa....au una allergy ya hewa chafu mkuu?
 
Kupanda chombo cha moto nikiwa kwenye barabara ya kokoto hadi nikifika hiyo safari mwili utaniwasha sana
 
Basi epuka kukamatwa na polisi wa ccm na watawala wakakupeleka kwenye kituoni na wakakulaza hapo aisee tena iwe usku chumba cha watu 20 mnarundikwa 200 mtajijua huko wenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…