Television ya CCM iko njiani, ya CHADEMA iko wapi?

Television ya CCM iko njiani, ya CHADEMA iko wapi?

Nani anaangalia TV siku hizi? Idadi ya washamba inaenda ikipungua.
wakitaka waanzishe online forums na wao, maana wengi wanakesha humu.
Eti nini?
Hapana, Michuzi blog bado haitoshi kuwatoa vilivyo!
 
Ehee kwani lini ccm wamejitoa TBC? Au jana maana sikuangalia taarifa,ebu tujuzeni kama sisiem wamejitoa umiliki wa TBC tv?
 
Endelea,

Nakubaliana nawe. Tutaunganisha nguvu ya umma katika suala hili la kuadhimisha vyombo vya habari vya chama. Hata hivyo, CCM ya kuchangiwa na umma ilikuwa ya wakati wa Nyerere kwenye mfumo wa chama kimoja iliyojenga majengo na kuchukua viwanja na rasilimali nyingine kwa michango na fedha za umma na baadaye kuiteka kuwa ya chama hicho. Huu ndio mtaji haramu wa kisiasa ambao wanautegemea mpaka sasa. CHADEMA haikuanza na mtaji kama huu. Aidha, vyombo vyao wanavianzisha na kuviendesha kwa kubebwa na dola iwe ni kwa fedha za serikali au kutumia nguvu za kidola kuchangisha fedha kwa wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali wakiwemo watuhumiwa wa ufisadi. Hivyo, tusitarajie kufanya kama wao; sisi tutapaswa kuunganisha nguvu ya umma kwa maana ya wananchi waliowengi wanaotaka mabadiliko; ndio maana lazima tutekeleze mikakati yetu hatua kwa hatua.

JJ

Safi sana kamanda Mnyika. Umeeleweka mkuu
 
Endelea,

Nakubaliana nawe. Tutaunganisha nguvu ya umma katika suala hili la kuadhimisha vyombo vya habari vya chama. Hata hivyo, CCM ya kuchangiwa na umma ilikuwa ya wakati wa Nyerere kwenye mfumo wa chama kimoja iliyojenga majengo na kuchukua viwanja na rasilimali nyingine kwa michango na fedha za umma na baadaye kuiteka kuwa ya chama hicho. Huu ndio mtaji haramu wa kisiasa ambao wanautegemea mpaka sasa. CHADEMA haikuanza na mtaji kama huu. Aidha, vyombo vyao wanavianzisha na kuviendesha kwa kubebwa na dola iwe ni kwa fedha za serikali au kutumia nguvu za kidola kuchangisha fedha kwa wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali wakiwemo watuhumiwa wa ufisadi. Hivyo, tusitarajie kufanya kama wao; sisi tutapaswa kuunganisha nguvu ya umma kwa maana ya wananchi waliowengi wanaotaka mabadiliko; ndio maana lazima tutekeleze mikakati yetu hatua kwa hatua.

JJ


Safi sana mkuu tupo pamoja,people's power
 
Kwel we pimbi unafurah rasimal za nchi znavyotumiwa na chama hebu twambie wewe nafamia yako mtafaidika nin na hiyo Tv?
 
CCM wawe na TV ngapi tena? kwani ile TBC ni ya nani? Hayo magamba yalishajimilikisha toka kitambo na ndo maana leo ipo live Mwanza bila hata senti.

Clouds TV pia
 
Hiyo TV station mpya itakuwa ya Wapinga ufisadi uchwara ( sitta na wenzie) au mafisadi hai (EL na RA), au itakuwa ya JK na Riz 1?

Pasco wa JF hebu tusaidie
 
CCM ni mashine nyingine mkuu!! yaani kama ni soccer CCM ni Man UTD na Chadema ni vila squad ....

Unaongea bila kua na vigezo na unachokisifia.ni sawa na kuisia mbu wakati inakunyonya damu
 
hela za cdm inaishia kwenye posho za maandamano
bila kusahau za CCM zinaishia kwenye hongo za uchaguzi...wamefilisi nchi sasa! madaktari , walimu, wafanyakazi serikalini, wastaafu hawajalipwa stahiki zao mpaka sasa! na serikali haina hela!!!!
 
Kamanda,

Nakushukuru kwa maoni na swali lako. Wazo na kuanzisha vyombo vya habari vya chama ikiwemo TV tunalo, na limeshaingizwa katika Mpango Mkakati wa chama 2011-2016. Ziko hatua ambazo tutazichukua mwaka huu kwa kadiri ya ratiba na mpango wa mwaka na ziko hatua ambazo tutazichukua baadaye, kwa kadiri ya mikakati, uwezo na mahitaji ya umma. CHADEMA tunatazama njia za mawasiliano ya umma kwa upana wake zaidi ya vyombo vya habari vilivyozoeleka. Kwa kuanzia tumeanza na TV ya CHADEMA kwenye mtandao www.chadema.tv, unaweza kuingia humo na kupata habari za uchaguzi wa Uzini hivi sasa. Hata hivyo, si kila mipango yetu tunaiweka hadharani kwa kuzingatia kuwa wapinzani wetu ndio hao wako serikalini, ni nchi yetu chama tawala ni chama dola.

Hatahivyo, ukifanya uwiano wa kirasilimali; CHADEMA inawafikia wananchi wengi zaidi iwe kwa mikutano, maandamano au vyombo vya habari kwa namna mbalimbali kuliko CCM. Jiulize kama rasilimali na fursa walizonazo CCM ndizo ambazo ingekuwa nazo CHADEMA tungefikia umma kwa kiwango gani. Bado tunajipanga kwenye kurugenzi ya habari na uenezi kwa kuzingatia mipango ya chama, wakati muafaka ukiwadia tutawaleta pamoja wanachama na wadau wengine kuhusu hili suala la vyombo vya habari vya chama.

Muwe na hakika tu kwamba maoni yenu mliyoyatoa kuhusu suala hili tumeyazingatia na tunayafanyia kazi; tuendelee kuunganisha nguvu ya umma; mpaka kieleweke.

JJ

Dear Mnyika,
Robust division of labour is a prerequisite for development. It’s a prerequisite because it forces people to be professional and also increases productivity and efficient in given areas. To that end, I don’t see any reasons why CCM or for that matter CHADEMA want to own a TV station. Political parties should stick to their main political objectives, and dissemination of news contents to masses is none of them.

For over 50 years, CCM have owned some sorts of mass media. Take for example Uhuru Newspaper. It was a good propaganda tool during the communist era. However, it should be noted that since the introduction of multiparty system and freedom of press, the newspaper has faded from public eyes. Its demise indicates that in modern era the ownership of news media by political parties isn’t what people really want.

Tanzanians want good information that will help them to make good and informed decisions. I am not sure whether CCM or any political parties will be able to fulfill this objective while maintaining journalistic independence.

Furthermore, CCM and CHADEMA use tax payers’ money for their own existence. At this time when the economy of the country is in a bad shape, both parties should restrain from unnecessary expenses. I call these TV projects unnecessary expenses because current news media are doing a great job to cover the news. So what different will it make if JK, Mbowe or Slaa has his own TV 24/7?

As I mentioned above division of labour is a prerequisite for development. CHADEMA have done a fantastic job because they have cultivated on the few opportunities they have had and their political objectives. However, as the party grows in stature, it seems to me that they want everything that CCM have. This is a bad idea.

It’s a bad idea because if the goal of CHADEMA is to topple CCM from power and change the country, TV isn’t the game changer. Computers and mobile phones are. Tunisian and Egyptians have changed their governments without an opposition TV on the air.
 
Endelea,

Nakubaliana nawe. Tutaunganisha nguvu ya umma katika suala hili la kuadhimisha vyombo vya habari vya chama. Hata hivyo, CCM ya kuchangiwa na umma ilikuwa ya wakati wa Nyerere kwenye mfumo wa chama kimoja iliyojenga majengo na kuchukua viwanja na rasilimali nyingine kwa michango na fedha za umma na baadaye kuiteka kuwa ya chama hicho. Huu ndio mtaji haramu wa kisiasa ambao wanautegemea mpaka sasa. CHADEMA haikuanza na mtaji kama huu. Aidha, vyombo vyao wanavianzisha na kuviendesha kwa kubebwa na dola iwe ni kwa fedha za serikali au kutumia nguvu za kidola kuchangisha fedha kwa wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali wakiwemo watuhumiwa wa ufisadi. Hivyo, tusitarajie kufanya kama wao; sisi tutapaswa kuunganisha nguvu ya umma kwa maana ya wananchi waliowengi wanaotaka mabadiliko; ndio maana lazima tutekeleze mikakati yetu hatua kwa hatua.

JJ

kama ungekuwa mwanza leo ndo ungegundua kuwa CCM wameanza kutapatapa.. Wamefikia hatua ya kukodi watu kutoka vijijini na mikoa mingine ili ionekane umati mkubwa KIRUMBA.. Uthibitisho ninao.. Watu wametoka kahama, Tabora, shinyanga kwa kipewa posho huku wakazi wa mwanza wakiendelea na shughuli zao kama kawaida..
 
Chadema TV. mbona ipo kwenye Site ya Chadema tembelea utaiona.
 
CCM ni mashine nyingine mkuu!! yaani kama ni soccer CCM ni Man UTD na Chadema ni vila squad ....
vitoto vya mafyasadi utaijua tu invyojamba kodi zetu
 
Nimemsikia komredi Mukama akisema kuwa TV ya CCM iko kwenye mchakato wa kuanzishwa na tayari bodi imeundwa. Ya chadema hata wazo hakuna, Chadema mpo serious kweli?

ya chadema ipo dukani sasa unasemaje? sababu hiyo tv yao itengenezwe chadema watakuwa na kituo cha kurushia matangazo tafakari wapi umekosea.
 
Nani anaangalia TV siku hizi? Idadi ya washamba inaenda ikipungua.
wakitaka waanzishe online forums na wao, maana wengi wanakesha humu.
Eti nini?
Hapana, Michuzi blog bado haitoshi kuwatoa vilivyo!

iyo tv mtangazaji wa kwanza Atakuwa Wasira,na mwigulu Nchemba
 
Nani anaangalia TV siku hizi? Idadi ya washamba inaenda ikipungua.
wakitaka waanzishe online forums na wao, maana wengi wanakesha humu.
Eti nini?
Hapana, Michuzi blog bado haitoshi kuwatoa vilivyo!

iyo tv mtangazaji wa kwanza Atakuwa Wasira,na mwigulu Nchemba
 
CCM ni mashine nyingine mkuu!! yaani kama ni soccer CCM ni Man UTD na Chadema ni vila squad ....
ukikuta mtu mzima na akili zake anashabikia ccm tena kwa mapato yao ya kuibia wananchi ujue huyo hana tofauti na wanaume kama mabinti ambao tumekuwa tukijiuliza wana tatizo gani au ni kweli ndivyo walivyoumbwa..! Mungu haumbi upuuzi huo niwakujitakia..
 
Back
Top Bottom