TEKU madarasa na viti havitoshi

TEKU madarasa na viti havitoshi

KALOKAGATHOS

Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
38
Reaction score
6
TEKU bila TEKU HALL,LIBRARY,HEKIMA,AMANI na UZIMA HOSTEL ni majanga makubwa!,kumbi kama za SIMWANZA na MWAKASYUKA hazifai kwa maana kuna muingiliano wa mwangwi,wahadhiri wamegoma kutumia vipaza sauti kisa hawajazoea vitu kama hivyo,semina rooms zinavuja,kama mvua inanyesha mambo si mazuri,viti 90 kati ya 100 vimevunjika lakini utawala kimyaaaa! kuna ukumbi kama ule wa MWANGUKU umevamiwa na wadudu hatarishi kama vile mende,viroboto,kunguni,nyuki na nyoka.jamani kama jana kuna mwanachuo aligongwa na nyoka akiwa darasani.mazingira ni machafu na tayari cafteria hapaliki hapanyweki.wanajitahidi kujenga hostel za magorofa na kupanda nyasi uwanja wa mpira lakini madarasa na viti vya kutosha havionekani.si vibaya kujenga mabweni wala kupanda nyasi uwanjani,lakini madarasa na viti ni muhimu jamani duh!! jengeni basi hata magorofa mawili tu kama mnavyofanya kwenye kujenga mabweni ili heshima na mazingira ya kusomea yarudi! pale madegree wekeni paa maana mvua inavuruga kila kitu.ni hayo tu.
NI MIMI NYOKA MNYWA MAFUTA
 
Hayo malalamiko yenu mmeyapeleka kwenye uongozi wa chuo wakagoma kuyatatua,au umeamua tu kuandika kuhusu teku?
 
Sasa Chuo kikiitwa Teofilo Kisanji what what unategemea kitakuwa na sifa gani mkuu.
 
Tumesema tumechokaaaaaaaaaaaa!!,ukikaa kimya unaumia mwenyewe,ukiongea......what,what,what,what,what,what!!!
 
Tumesema tumechokaaaaaaaaaaaa!!,ukikaa kimya unaumia mwenyewe,ukiongea......what,what,what,what,what,what!!!

Fanyeni kama ukawa! Nadhani maombi yapatiwa ufumbuzi fasta kuliko JF maana humu tutaishia kutoa ushauri wa kinadharia, hali halisi ya kifedha iko TEKU. Labda kama unaitisha harambee hapo nitaungana nawe tuchange ili kuokoa jahazi. Otherwise bado mna nafasi nzuri sana ya kupambana na uongozi wenu ili ubadili vipaumbele vyake ili kukabili hili tatizo.
 
Tatizo la teku haliwezi kuisha mpka wabadili uongozi,
chuo kina hali mbaya
kwa ufupi na Hakuna anaye jali wlaa kuliona hilo...kwaza lectur wao wananuka njaa laana mpk unawza hajalipwa miezi mingapi??
wahadhir Wengi sana wamekikimbia hiko chuo kwa sababu hawalipi wafanya Kazi wao kwa wakati, lecturer wanalazimishwa kufundisha vitu wasivo kua weridi navyo ili kubana bugdet ya kutafuta weendesha wa somo husika
Teku ni jipu tena limeiva
wafungiwe ili akili iwakae sawa
Elimu wanaichezea sana hawako serious wao ni pesa mbele
 
Ni campas gani hiyo tuanze nayo maanake tumechoka na hv vyuo vya kata
 
Mfaten dr moses,ni ujinga mtupu lkn si kuna kiongozi wa wanafunzi
 
TEKU bila TEKU HALL,LIBRARY,HEKIMA,AMANI na UZIMA HOSTEL ni majanga makubwa!,kumbi kama za SIMWANZA na MWAKASYUKA hazifai kwa maana kuna muingiliano wa mwangwi,wahadhiri wamegoma kutumia vipaza sauti kisa hawajazoea vitu kama hivyo,semina rooms zinavuja,kama mvua inanyesha mambo si mazuri,viti 90 kati ya 100 vimevunjika lakini utawala kimyaaaa! kuna ukumbi kama ule wa MWANGUKU umevamiwa na wadudu hatarishi kama vile mende,viroboto,kunguni,nyuki na nyoka.jamani kama jana kuna mwanachuo aligongwa na nyoka akiwa darasani.mazingira ni machafu na tayari cafteria hapaliki hapanyweki.wanajitahidi kujenga hostel za magorofa na kupanda nyasi uwanja wa mpira lakini madarasa na viti vya kutosha havionekani.si vibaya kujenga mabweni wala kupanda nyasi uwanjani,lakini madarasa na viti ni muhimu jamani duh!! jengeni basi hata magorofa mawili tu kama mnavyofanya kwenye kujenga mabweni ili heshima na mazingira ya kusomea yarudi! pale madegree wekeni paa maana mvua inavuruga kila kitu.ni hayo tu.
NI MIMI NYOKA MNYWA MAFUTA
Dah poleni sana... anyway tunaendelea na kampeni ya changia madawati naamini yatawafikia huko TEKU
 
TEKU bila TEKU HALL,LIBRARY,HEKIMA,AMANI na UZIMA HOSTEL ni majanga makubwa!,kumbi kama za SIMWANZA na MWAKASYUKA hazifai kwa maana kuna muingiliano wa mwangwi,wahadhiri wamegoma kutumia vipaza sauti kisa hawajazoea vitu kama hivyo,semina rooms zinavuja,kama mvua inanyesha mambo si mazuri,viti 90 kati ya 100 vimevunjika lakini utawala kimyaaaa! kuna ukumbi kama ule wa MWANGUKU umevamiwa na wadudu hatarishi kama vile mende,viroboto,kunguni,nyuki na nyoka.jamani kama jana kuna mwanachuo aligongwa na nyoka akiwa darasani.mazingira ni machafu na tayari cafteria hapaliki hapanyweki.wanajitahidi kujenga hostel za magorofa na kupanda nyasi uwanja wa mpira lakini madarasa na viti vya kutosha havionekani.si vibaya kujenga mabweni wala kupanda nyasi uwanjani,lakini madarasa na viti ni muhimu jamani duh!! jengeni basi hata magorofa mawili tu kama mnavyofanya kwenye kujenga mabweni ili heshima na mazingira ya kusomea yarudi! pale madegree wekeni paa maana mvua inavuruga kila kitu.ni hayo tu.
NI MIMI NYOKA MNYWA MAFUTA
Acha uongo
 
Back
Top Bottom