Regery
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 260
- 192
Vipi na wewe ni msengerema maana mnajuana ati!Msenge sana we jamaa acha nipigwe bun mamayo kabisa watu wanapanga uhaini wewe unaleta usenge wako humu...pumbavu
Vipi na wewe ni msengerema maana mnajuana ati!Msenge sana we jamaa acha nipigwe bun mamayo kabisa watu wanapanga uhaini wewe unaleta usenge wako humu...pumbavu
Usihadae watu. Teknolojia pekee iliyotumika ni BUGGING. Waulize watu wa kitengo watakwambia maana yake.1. Uwongo unaanzia pale wanapo changanya picha halisi na sauti ili watushawishi kuwa ni sauti za Nape na Kinana.
Kama zingekuwa sauti zao wasingekuwa na haja ya kutuwekea picha kwa kuwa tungezitambua sisi wenyewe ambao ndiyo walengwa.
2. Kama ni kweli kulikuwa mazungumzo ya Kinana na Nape kabla ya kutoa Barua ya Makatibu Wakuu wastaafu, basi hiyo ingetoka kabla say Jumamosi au Jumapili kabla ya barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu.
Kitendo cha kutoa Jumanne ambapo ni siku 2 baada ya barua inadhihirisha walikuwa maabara na wasanii wa kuigiza sauti ili kufanya walichofanya.
3. Kuna uwezekano sauti hizo zimefanyiwa voice cloning kama inavyoelezwa kwenye article hii; https://www.vice.com/amp/en_us/arti...e-anyones-voice-with-just-37-seconds-of-audio
4. Kinana na Nape wanajua kwamba kuna phone/call tracking kwa hiyo hawawezi kufanya mazungumzo ya kizembe namna hiyo
5. Tofauti ya tarehe ya waraka wa Makatibu Wakuu Wastaafu na tarehe ya voice clips ni siku 2 ambazo zina akisi muda ambao wahuni wa mtandao walikuwa wanachanganya picha na sauti kwenye maabara
6. Wahuni hawa wa Mtandao ni pembetatu ya Bashite, Musiba na Muro ambao wana baraka za vyombo vya dola. Wangekuwa siyo hao basi tungekuwa tumewasikia TCRA wakisema tumewakamata na tunawafikisha Mahakamani kwa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao.
7. Yote haya ni ishara ya kupasuka kwa CCM vipande vipande
Kwa nn uwajibie wewe?Yote haya ni ishara ya kupasuka kwa CCM vipande vipande
1. Uwongo unaanzia pale wanapo changanya picha halisi na sauti ili watushawishi kuwa ni sauti za Nape na Kinana.
Kama zingekuwa sauti zao wasingekuwa na haja ya kutuwekea picha kwa kuwa tungezitambua sisi wenyewe ambao ndiyo walengwa.
2. Kama ni kweli kulikuwa mazungumzo ya Kinana na Nape kabla ya kutoa Barua ya Makatibu Wakuu wastaafu, basi hiyo ingetoka kabla say Jumamosi au Jumapili kabla ya barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu.
Kitendo cha kutoa Jumanne ambapo ni siku 2 baada ya barua inadhihirisha walikuwa maabara na wasanii wa kuigiza sauti ili kufanya walichofanya.
3. Kuna uwezekano sauti hizo zimefanyiwa voice cloning kama inavyoelezwa kwenye article hii; https://www.vice.com/amp/en_us/arti...e-anyones-voice-with-just-37-seconds-of-audio
4. Kinana na Nape wanajua kwamba kuna phone/call tracking kwa hiyo hawawezi kufanya mazungumzo ya kizembe namna hiyo
5. Tofauti ya tarehe ya waraka wa Makatibu Wakuu Wastaafu na tarehe ya voice clips ni siku 2 ambazo zina akisi muda ambao wahuni wa mtandao walikuwa wanachanganya picha na sauti kwenye maabara
6. Wahuni hawa wa Mtandao ni pembetatu ya Bashite, Musiba na Muro ambao wana baraka za vyombo vya dola. Wangekuwa siyo hao basi tungekuwa tumewasikia TCRA wakisema tumewakamata na tunawafikisha Mahakamani kwa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao.
7. Yote haya ni ishara ya kupasuka kwa CCM vipande vipande
Nani kaziwekea picha mnato na kwa madhmuni gani? Angeleta voice clip peke yake na kuacha hadhira aliyoilenga iseme kuwa huyu ni Nape na huyu ni Kinana!! Kielelezo chochote kinachoacha mashaka hakikubaliki kisheria kwa kuwa KIMEPIKWA au kwa lugha ya Malkia kimekuwa COMPROMISED
Hiyo huwezi kuona kwamba ni Kama salamu kwa hao jamaa wakijulishwa kwamba wanachokifanya nyuma ya kapeti kinajulikana?hatuwezi tu kusema wazee waachwe wapumzike hata Kama kipindi wapo madarakani walitumia nafasi zao ndivyo sivyo!!!
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, James Kilaba amesema mamlaka hiyo haina uwezo wa kudukua mawasiliano ya wateja wa mitandao ya simu za mkononi. Ametoka kauli hiyo leo akijibu swali kuhusu sauti zinazodaiwa ni za Mbunge @Nnauye_Nape na Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Abdulrahman Kinana. https://t.co/sSxJcAIRwBHicho ndicho unabishia...
Jionee aibu
0 gt
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, James Kilaba amesema mamlaka hiyo haina uwezo wa kudukua mawasiliano ya wateja wa mitandao ya simu za mkononi. Ametoka kauli hiyo leo akijibu swali kuhusu sauti zinazodaiwa ni za Mbunge @Nnauye_Nape na Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Abdulrahman Kinana. https://t.co/sSxJcAIRwB
Tena wakae kimya kabisa na wasipeleke complain popote. Ili tuone sasa nani ata set investigation machinery in motion.Tena nawashauri wala wasijitokeze, kuhakikisha ukweli wa hii clip , ni jukumu wa CCM kitego cha maadili na wazee walioandikiwa.
Hao waliouweka wazi, mbona hakupeleka kwenye idara za chama na kuwashitaki kinana na nape, nao wamefanya mambo ya kitoto.
Tuko pamoja kiongoziNakupa Likes kama 1,000,000 kwa hoja hii, kama aliyenasa mazungumzo ya ukweli yenye kuleta mpasuko si ayapeleke kwenye vyombo husika!!. Kama kuna poyoyo yeyote wa Lumumba atakujibu naomba uni tag.
Naona wewe ndiyo akili ndogo cause umeshindwa kuthibitisha upuuzi wako.We ni akili ndogo tu hujui mambo ya dunia hii
Mnafurahi...tena hivi wapinzani mtakua lini kwakweli..This is Agenda Setting and Settled.. apa wapinzani mnapotezwa hivi na hamuwezi kuleta agenda bali mnangangai issue ambazo wanatengeneza wana CCM aaah nacheka sana mimiEndeleeni kupambana na hali zenu huko lumumba,sisi twafurahi tu kuona moshi!
Wewe mnafiki, CCM hatuna mpasuko kabisa, na ndiyo maana hata Mh. Nape kakiri na hilo lipo wazi. Ila Nape na Mwezi wa kwanza wamewaponza wazee1. Uwongo unaanzia pale wanapo changanya picha halisi na sauti ili watushawishi kuwa ni sauti za Nape na Kinana.
Kama zingekuwa sauti zao wasingekuwa na haja ya kutuwekea picha kwa kuwa tungezitambua sisi wenyewe ambao ndiyo walengwa.
2. Kama ni kweli kulikuwa mazungumzo ya Kinana na Nape kabla ya kutoa Barua ya Makatibu Wakuu wastaafu, basi hiyo ingetoka kabla say Jumamosi au Jumapili kabla ya barua ya Makatibu Wakuu Wastaafu.
Kitendo cha kutoa Jumanne ambapo ni siku 2 baada ya barua inadhihirisha walikuwa maabara na wasanii wa kuigiza sauti ili kufanya walichofanya.
3. Kuna uwezekano sauti hizo zimefanyiwa voice cloning kama inavyoelezwa kwenye article hii; https://www.vice.com/amp/en_us/arti...e-anyones-voice-with-just-37-seconds-of-audio
4. Kinana na Nape wanajua kwamba kuna phone/call tracking kwa hiyo hawawezi kufanya mazungumzo ya kizembe namna hiyo
5. Tofauti ya tarehe ya waraka wa Makatibu Wakuu Wastaafu na tarehe ya voice clips ni siku 2 ambazo zina akisi muda ambao wahuni wa mtandao walikuwa wanachanganya picha na sauti kwenye maabara
6. Wahuni hawa wa Mtandao ni pembetatu ya Bashite, Musiba na Muro ambao wana baraka za vyombo vya dola. Wangekuwa siyo hao basi tungekuwa tumewasikia TCRA wakisema tumewakamata na tunawafikisha Mahakamani kwa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao.
7. Yote haya ni ishara ya kupasuka kwa CCM vipande vipande