Teknolojia ya Iphone 6 Apple wamechemka

Teknolojia ya Iphone 6 Apple wamechemka

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,067
Reaction score
43,496
kwa wale waliokuwa wakiikandia design mpya ya apple nafikiri walikua sahihi kwa decision yao ya kueka aluminium imezua balaa kubwa duniani kote. watu wengi kutoka maeneo tofauti duniani wanaripoti iphone 6+ zao zinajikunja. ukiieka kwenye mfuko wa suruali ukikalia kidogo inajikunja kutokana na udhaifu wa alluminium.

watani zangu bado mnataka kununua simu yenu?

The Bendable iPhone 6 Plus May Be Too Thin For Its Own Good

The iPhone 6 Plus is by all accounts a beautiful piece of technology. It is large but delicately thin with smooth curves of machined aluminum. It is a pleasure to hold-but reports indicate it may not hold its shape.


Lewis Hilsenteger of Unbox Therapy made a video today to investigate complaints that some brand new iPhone 6 units got bent in people's pockets (see video above and stills below.) So far, a few photos of bent phones have popped up under the hashtag #bentgate. All of this just happened since Friday and there is no evidence of a "coverup" on Apple's part, so there is no actual "gate."

And, as Derek Kessler writes on
iMore, the iPhone 5 and 5S are also made out of aluminum and can also be bent: "A phone that's made out of a generally rigid but deceptively thin metal shell can be permanently deformed if too much force is applied." He even claims to own an iPhone 5 "with a slight bend to it," himself.


unbendable-samsung-note-3-unbox-therapy.jpg

So if there is no "gate" and this isn't a new phenomenon, why the fuss? First, even for Apple fans like Hilsenteger it's always fun to have something to criticize. Second, Apple watchers are always on the lookout for the company over reaching. Year after year it significantly improves its products and sets sales records. Surely the s-curve fill flatten at some point?

Other than envy or sour grapes, there is something at stake here very close to Apple's soul. User experience is largely about avoiding unexpected behavior. When we say that Apple's products are intuitive we mean that they do what we think they will do even if we are using them for the first time. By moving into Samsung's phablet territory Apple is sending the implicit message to its customers that its version will provide a superior user experience.

The thinness, the lightness, the smooth edges and the metal build are all supposed to serve to delight the user. But since it is an iPhone, albeit a large one, users that are used to putting their phone in their pocket will continue to do so as long as the pocket is large enough. (This is no mean feat for the 6 Plus!) So the fact that a routine trip to the back pocket could lead to a permanently bent (and possibly unusable) iPhone should be uncomfortable for Apple.
bendable-iphone-6-plus-unbox-therapy-1.jpg m

Hilsenteger applied the full force of his thumbs to his brand-new iPhone 6 Plus and the image above is the result. What is not shown in this video is what happened when he tried to straighten the aluminum back out. The previously flexible screen cracked. See the image he posted on Instagram below for the sad sight.


bendable-iphone-6-plus-unbox-therapy-2.jpg


The hard-earned lessons for iPhone 6 and 6 Plus users are clearly:


  1. Do not keep your new iPhone in any pocket that is remotely tight, and
  2. If your phone does bend DO NOT try to bend it back!

The takeaway for Apple is trickier. Phil Schiller seemed to take great pride in announcing that the 6 Plus is just .2 mm thicker than the 6. But given the fact that the 6 Plus has a third more surface area than the 6, that measly extra 3% of thickness should have been a clue that it could have significant structural weaknesses.

Indeed, Hilsenteger describes how he applied the force to the center of the phone but the bend occurred up near the button cutouts.


A snarky tweet from LG in Germany (above) chided Apple about #bentgate that, "It wouldn't have happened with the LG G Flex." The point is well-taken and I would look for Apple to explore more flexible materials for the next generation of the 6 Plus.

Nickel titanium, the material that flexible eyeglass frames are made out of, makes it clear that a metal can be both strong and super-flexible.

It is also 5-10 times the cost of aluminum. It is also heavier. When I asked Hilsenteger if the 6 Plus should have been made out of titanium instead of aluminum he immediately replied "space grade!"


unbendable-samsung-note-3-unbox-therapy.jpg


Bonus Round:
The unbendable Samsung Note 3!

Not one to let a bent iPhone get him down, Hilsenteger tried to see if you could similarly destroy a Samsung Note 3. Although unlovely in comparison to the iPhone 6 Plus, the Note 3 could not be bent! Maybe slightly warped, but definitely not bent.

The moral of the story (for now) is that if you want to keep your phablet in your pants pocket-get a Samsung! If you want an oversized iPhone, keep it in your purse or shirt pocket.

Source: Forbes.com


 
Last edited by a moderator:
Te!te! Waswhili wanasema kuchamba kwingi.........iPhone wapunguze manjonjo.
 
Lakini kijikunja sindio miongoni mwa technologia zinazofuatiliwa so nafikir ni lengo lao kutumia material flexible
 
LG G flex shuld sue Apple coz wame copy bending structure bila idhini yao
 
Mti wnye matunda ndio hupigwa mawe
Hizi huwa ni hadithi za kawaida kabisa kila Apple akitoa simu mpya, yatasemwa mengi sana

Enjoy your ibanana 6 made with soda can grade aluminum!
 
Lakini kijikunja sindio miongoni mwa technologia zinazofuatiliwa so nafikir ni lengo lao kutumia material flexible

hapana sio feature ni choice mbaya ya material. alluminium ikijikunja mara 2 au 3 inakatika. inamaana huyo jamaa akiibend kulika na kushoto kidogo tu itakatika vipande viwili
 
cha ajabu hapo bdo watu wateendelea kuweweseka na jina IPHONE 6
 
Mnaponda tu. Kwanza chanzo cha hii habari hatukijui. Hakuna kama iphone. Visimu vingine full kuchemka. Full ku stuck. Full kuingiliwa virusi. Nakumbuka nilikuwa na blackberry in the middle of a call the phone suddenly stucks. 😂😂😂😂. Apple wametisha na tunaendelea kula maisha.
 
Bending is not one of the features of the iPhone 6+,when you get one, don't try that at home. Lakini kama tukitaka kuipondea hii cm labda zingewekwa na specs zake ambazo hazifai, ndio tujue kwamba hiyo cm haifai
 
Mnaponda tu. Kwanza chanzo cha hii habari hatukijui. Hakuna kama iphone. Visimu vingine full kuchemka. Full ku stuck. Full kuingiliwa virusi. Nakumbuka nilikuwa na blackberry in the middle of a call the phone suddenly stucks. 😂😂😂😂. Apple wametisha na tunaendelea kula maisha.

chanzo tu? hilo lisikupe shidA

1.CHANZO CHA kwanza phonearena
More worrying evidence of the iPhone 6 Plus' fragility: see it easily getting bent on video

2.chanzo cha pili gsmarena
Apple iPhone 6 Plus appears prone to accidental bending - GSMArena.com news

3.chanzo cha tatu pocketnow
iPhone 6 Plus suffering bend damage: you're carrying it wrong? (Poll) | Pocketnow

au chagua wewe unataka website gani kubwa za tech upewe source sababu hii ndo habari dunia nzima wanajua
 
Bending is not one of the features of the iPhone 6+,when you get one, don't try that at home. Lakini kama tukitaka kuipondea hii cm labda zingewekwa na specs zake ambazo hazifai, ndio tujue kwamba hiyo cm haifai

kaka sio kwamba haifai unaweza tu kununua case ukaitumia.

kinachoshangaza hapa kwanini ibend? inamaana wametumia material cheap na hizi mbio za kutengeneza simu nyembamba ndio yakaja kutokea hayo. kwa simu ambayo unauziwa mamilioni ya hela inabidi iwe ngumu. yani ukijisahau tu ukaieka mfuko wa nyuma ukaikalia basi milioni ndo inasepa.
 
kaka sio kwamba haifai unaweza tu kununua case ukaitumia.

kinachoshangaza hapa kwanini ibend? inamaana wametumia material cheap na hizi mbio za kutengeneza simu nyembamba ndio yakaja kutokea hayo. kwa simu ambayo unauziwa mamilioni ya hela inabidi iwe ngumu. yani ukijisahau tu ukaieka mfuko wa nyuma ukaikalia basi milioni ndo inasepa.

Sawa kaka but kwa ukweli kila smartphone has got its weakness, kwa mfano nikuulize, unatumia smartphone ipi?
 
Mkitaka kujua hilo, basi nendeni youtube mkaangalie drop-test kwa hizo smartphone zote, yani iPhone wana tengeneza vifaa vya imara pamoja na Nokia, Samsung ni wabovu kwenye hilo eneo, sasa hiyo haiwezi kuwa sababu moja tu ya kusema hizi nyingine mbovu kwa msingi huo. Juzi tu nlikuwa CNET wanasema ndani ya wiki moja tu, yangu ziruhusiwe kuuzwa, iPhone wameuza zaidi ya copy milioni 10 hata baada ya pocket now, GSM arena na wengineo kuipondea
 
Apple have to deal with it, ni design flaw ya 6+, kwanza ni top heavy, you always feels like it's gonna tip over at the top and fall and for 6+ the problen is mainly where kuna cuts za volume rockers! The size and thinness doesn't help either...!! And I'm glad the i6 isn't affected with this in a way the i6+ is.

Also, I bet samsung is now busy making an Ad to make fun of the 6+.
 
Back
Top Bottom