Hhhhh imekulowesha sana hiyo inaoneshaHizo ni propaganda tu za utawala wa kiimla wa Iran, ukweli unabaki palepale kwamba Wairan wengi wamechoka vibaya na utawala huo unaojiita wa kidini huku kila Ijumaa ikiua raia wake kama ng'ombe. Bure kabisa.
Huko marekani ICE wanaua sana watu ila hakuna mtu anasema trump ni dikteta au gaidi!! Unafiki tu
Huko marekani ICE wanaua sana watu ila hakuna mtu anasema trump ni dikteta au gaidi!! Unafiki tu
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran 🇮🇷 leo imewachukua Mabalozi wa Uingereza, Ufaransa, Italia na Ujerumani ambao walitoa matamko kuwaunga mkono Waandamanaji na kuikosoa Serikali ya Iran juu ya nguvu wanayotumia dhidi ya Waandamanaji, sasa Wizara ikawaita na kuwawekea video za CCTV zikionesha walioitwa Waandamanaji wakiwa na silaha kali wakishambulia Polisi na Raia wa Iran.Huko marekani ICE wanaua sana watu ila hakuna mtu anasema trump ni dikteta au gaidi!! Unafiki tu
😀😀😀Hizo ni propaganda tu za utawala wa kiimla wa Iran, ukweli unabaki palepale kwamba Wairan wengi wamechoka vibaya na utawala huo unaojiita wa kidini huku kila Ijumaa ikiua raia wake kama ng'ombe. Bure kabisa.
Sitaki kusema kitu, nimeuliza swali tuUnatakata kusema nini😀
Dunia ina vituko huyu Punguani yupo Njombe anawasemea watu wa Iran😀Hizo ni propaganda tu za utawala wa kiimla wa Iran, ukweli unabaki palepale kwamba Wairan wengi wamechoka vibaya na utawala huo unaojiita wa kidini huku kila Ijumaa ikiua raia wake kama ng'ombe. Bure kabisa.
MPYA:Sitaki kusema kitu, nimeuliza swali tu