Tegeta Escrow: Stanbic Bank yatoa Press Statement

tatizo mwiguru aliwaambia watoe taarifa kukanusha,sababu wakikaa kimya wataonekana kweli.hamkumuelwewa MWIGURU
 
hii riport iko shallow either kwa makusudi kuficha kitu au stanbic kuna vilaza sana inafaa kufungiwa maandazi hiii
 
Kwanza walichofanya ni dharau kwa bunge na kwa Naibu Waziri. Wanatoa statement muda wanaojisikia wao.
 
Kama ni wasafi CEO wao wamemtimua kwasababu gani, waache siasa wakati huu sisi Watanzania tunauchungu sana. Kama walifuata sheria je unaruhusiwa kutoa mabilioni hayo kwa siku mbili tena katika viroba na magunia.
Siyo tu CEO hata yule dogo aliyefungua ac hiyo ametimukiwa. Why wawatimue km taribu zilifuatwa?
 
Pesa imelipwa kutoka kwenye account BOT kwenda stanbic.

Ilipotoka BOT ilikuwa safi,ilipofika Stanbic ikachafuka.

Wewe utakuwa na akili nyingi sana kama mimi, nilikuwa najiuliza hivyo hivyo. Kwanini tusianzie BOT kwanza, kwa sababu kama BOT walizitoa hizo kwenda benki nyingine maana yake zilikuwa safi, kosa ambalo naona Stanbic wamefanya pengine ni kurusu hele hizo kuchukuliwa kama Cash zaidi ya kiwango cha cash kinachotakiwa, vinginevyo wangefanya TISS wangekuwa clean kama wenzao Mkombozi.
 
Huku Ni kuwakosea heshima Na adabu watanzania nilikua nawaheshimu Sana hii bank lakini kwa statement hii Ni wazi wametudharau Sana hii ni statement ya kihuni Ni dawa Na tangazo la mkutano WA kijiji. Nilitegemea wangekuja Na statement ya kitaalamu inayotoa uchambuzi WA kina kwa haya yalitokea. Kwa statement hii Ni wazi kuwa WA ehusika kikamilifu katika utakatishaji WA fedha haramu.period
 
Lol, nimekimbilia kufungua uzi..kumbe ni utoto mtupuu...

Jamani huyo aliyetoa hilo tamko kweli anajua anachofanya kweli..??

Kwann wasielezee kama wenzao wa mkombozi bank??...

Walau hata kuonyesha mtiririko wa matukio ulivyokwenda???

Kweli mmetuona sio wananchi ni majinga mpaka mnatudanganya kiasi hiki...kweli kweliii inauma sanaa...
 

Stanbic Bank ni wahuni ,Taatifa haijaitosheleza utafikiri imeandikwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ya Magogoni.
 
Ni kosa la kisheria kutoa bank account details.
 
hii taarifa atakuwa kaiandika assumpta mshana,lusinde,komba au hawa ghasia....stupid bank
 
Too general!!

Walitakiwa watoe specific answers for specified problems!!
 
Siamini hichi kilichoandikwa apa ndio kimeandikwa na bank kama bank au mtu kajifungia ofisini kaamua kuandika kama ana post kule facebook...duh kwa kweli inasikitisha sana
 
Stanbic Bank in Tanzania is a member of the Standard Bank Group of South Africa and was established in May 1995 when the Standard Bank Group acquired the operations of Meridien Biao Bank Tanzania Limited. About Stanbic Bank
Hii Meridien ndiyo iliwahi kuwaliza watu miaka ya tisini. Bila shaka ndicho kinachoelekea kwa Stanbic ndio maana wanatoa taarifa za kujiumauma.
 

Mkombozi haijaeleza kuhusu wanabodi wake waliopokea kitita, umesahau na wametajwa?
 
nadhan hii ilikuwa n memo kwenda kwa mwigulu co statement kwa ajili ya umma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…