Tegeta Escrow Account Corruption Scandal: Confidential files you need to read

Tegeta Escrow Account Corruption Scandal: Confidential files you need to read

attachment.php
 
nimesisimka mno kusoma hizi nyaraka ...khaaaa hii nchi jamani

kwanini sasa? kwanza umeelewa kweli kilichoandikwa humo?


Hivi huoni tofauti yako na wengine?


SASA KWA TARIFA YAKO NGOJA NIKANUNUE POPCORN NIKURIDI HAPA NAPANDISHA ARTICLE ZOTE HIZI KWA UFASAHAA NA KILA MTU AJISOMEEE.
 
Hivi mnasoma au mnaleta POROJO? kasome attachment ya 6, page number 4, kipengele number ii.



attachment.php



View attachment 189357

Nimekupata Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni, pamoja na hayo bado mie naona hiyo ni arbitration process kila inpotokea kikwazo wakati wa utekelezaji wa mkataba. Swali langu liko pale plae; umeme Tanesco waliutumia na malipo yaliyowekwa Escrow a/c ni yale yale ambayo yangelipwa kwa mtoa huduma moja kwa moja.
 
Last edited by a moderator:
Nimekupata Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni, pamoja na hayo bado mie naona hiyo ni arbitration process kila inpotokea kikwazo wakati wa utekelezaji wa mkataba. Swali langu liko pale plae; umeme Tanesco waliutumia na malipo yaliyowekwa Escrow a/c ni yale yale ambayo yangelipwa kwa mtoa huduma moja kwa moja.

Ni kweli alitakiw akulipwa, lakini kulikuw akuna mgogoro amabao asingepaswa kulipwa zote kwani kuna CHENJI YETU hapo kwa kutudanganya uhalisia wa mtaji wake,

haow enzio kule walikuwa wanadai jana na juzi kuw ahuu mgogoro uliisha tokea 2001, wakati sio kweli maana hadi siku ya siku hapo bado watu walikuwa wanakomaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimekupata Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni, pamoja na hayo bado mie naona hiyo ni arbitration process kila inpotokea kikwazo wakati wa utekelezaji wa mkataba. Swali langu liko pale plae; umeme Tanesco waliutumia na malipo yaliyowekwa Escrow a/c ni yale yale ambayo yangelipwa kwa mtoa huduma moja kwa moja.


Acha kusumbuka ndugu yangu unaliuliza jiwe hapo, huyo anapost haya akiwa garage kwa Rostam, kashaelekezwa aichafue IPTl hawezi kujibu hoja zako kwakutumia hizi files peke yake
 
Last edited by a moderator:
Nimezisoma docs zote, mie naona ni nyaraka za mawasiliano ya kawaida kiofisi kuhusu hayo malipo.

Inabidi tupate mwanga zaidi katika huu 'ufisadi' najaribu kujiuliza maswali haya: Je, huo umeme Tanesco walitumia? na vipi kama malipo yangefanywa kila mwezi kama walivyolipwa wengine akina Symbion na Songas, hiyo pesa isingetumika?

Mbona hamjiulizi kwanini pesa zilitunzwa badala ya kulipwa mojakamoja, TANESCO HAWAKUWA WANAKUBALIANA NA GHARAMA ZA MTAJI ULIOWEKEZWA NDIO CHANZO CHA MGOGORO
 
Mbona hamjiulizi kwanini pesa zilitunzwa badala ya kulipwa mojakamoja, TANESCO HAWAKUWA WANAKUBALIANA NA GHARAMA ZA MTAJI ULIOWEKEZWA NDIO CHANZO CHA MGOGORO

Pesa zilitunzwa sio sababu ya capacity charges,zilitunzwa sababu ya mgogoro baina ya wanahisa wa iptl
 
umedefine great thinker kimatendo! bravo bravo! siyo mjinga kule juu ameshindwa hata kupakua hizo files nasimuyake aliyonunuliwa na shemeji yake alafu anatype uchafu tu.
.....Acha maneno yasiyo na maana kuita wenzako wajinga huku unachoandika kikiwa kina-reflect hiyo tabia kwa upande wako. Wengine wanajifunza mengi kutokana na vitu vya maana vinavyoandikwa hapa JF.

Ni vyema tukitumia jukwaa hili kwa manufaa ya wengi sio kurushiana meneno ya kashfa na kejeli.
 
Mbona hamjiulizi kwanini pesa zilitunzwa badala ya kulipwa mojakamoja, TANESCO HAWAKUWA WANAKUBALIANA NA GHARAMA ZA MTAJI ULIOWEKEZWA NDIO CHANZO CHA MGOGORO

Mgogoro na Tanesco ulikuwa juu ya gharama halisi za mtaji ambazo zilitumika kukokotoa 'capacity charges' lakini haikuwa sababu ya pesa kuwekwa Escrow bali ziliwekwa kutokana na mgogoro mwingine baina ya wamiliki wa IPTL. Tanesco wao walilipa kawaida kadiri umeme ulivyozalishwa na kama sio mgogoro baina ya wamiliki wa IPTL, hayo malipo wangeyapata moja kwa moja kama ilivyo kwa AGRECO, Songas na Symbion.

Kama ni ufisadi, basi tuliibiwa tangia wakati ule mkataba wa IPTL ulipotengenezwa mwaka 1994 vinginevyo haya ya Escrow ni ugomvi baina ya wezi wetu wenyewe wanapopunjana kwenye ulaji.
 
Mgogoro na Tanesco ulikuwa juu ya gharama halisi za mtaji ambazo zilitumika kukokotoa 'capacity charges' lakini haikuwa sababu ya pesa kuwekwa Escrow bali ziliwekwa kutokana na mgogoro mwingine baina ya wamiliki wa IPTL. Tanesco wao walilipa kawaida kadiri umeme ulivyozalishwa na kama sio mgogoro baina ya wamiliki wa IPTL, hayo malipo wangeyapata moja kwa moja kama ilivyo kwa AGRECO, Songas na Symbion.

Kama ni ufisadi, basi tuliibiwa tangia wakati ule mkataba wa IPTL ulipotengenezwa mwaka 1994 vinginevyo haya ya Escrow ni ugomvi baina ya wezi wetu wenyewe wanapopunjana kwenye ulaji.


Hivi unajua kusoma ndugu yangu? au lugha ni tatizo?
naamini anayekulipa saa hizi anssikitika maana hujuhi ulitendalo, soma tena hapa chini kwa nini hutakikuelewa?

attachment.php
 
Pata nyaraka zote kuhusu ufisadi wa Tegeta Escrow Account Scandal hapa chini

nimesoma kwa umakini nimeona kumbe malipo yamelipwa kihalali na kama kuna utata basi waulizwe walioidhinisha pesa hiyo ambao ni gavana, waziri wa fedha, bot, cag, bunge na waziri mkuu, n.k. lakini inaonekana rugemarila alipewa pesa kihalali na ndomana TRA walimfata ili alipe kodi tena akalipishwa zaidi ya 1/3 na pesa hizo zikaingia benki tayari kwa matumizi halali.
 
nimesoma kwa umakini nimeona kumbe malipo yamelipwa kihalali na kama kuna utata basi waulizwe walioidhinisha pesa hiyo ambao ni gavana, waziri wa fedha, bot, cag, bunge na waziri mkuu, n.k. lakini inaonekana rugemarila alipewa pesa kihalali na ndomana TRA walimfata ili alipe kodi tena akalipishwa zaidi ya 1/3 na pesa hizo zikaingia benki tayari kwa matumizi halali.
 
...duh thanks mkuu kwa hizi documents....ngoja tuzichambue.....Kwa kuanza tu nimeona petition iliyofunguliwa na VIP engineering ya kina Rugemarila ilivyoamuliwa na jaji Utamwa na kutumika kama kigezo cha kuchota fedha ya escrow....huku wadau wengine kama Mechmar wakitupiliwa mbali hoja zao...

....my take:

Bado najiuliza ilikuwaje ruling ya Utamwa ilitumika kuchota fedha wakati bado wabia wengine wakiwa hawajaridhika na shauri hili???....me thinks kwamba bado kuna utata kwenye ruling hii.....maana baada yake tu ndipo wajanja wakachota fedha...Siku zote nasema sitashangaa majaji hawa kutajwa kuhusika na wizi huu.....
 
Back
Top Bottom