Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Leo tecno wamezindua simu ya tecno phantom 6 na tecno phantom 6 plus ya mp 21camera ya mbele
kaka soma vizuri specification za simu hii, unadanganya unaposema camera ya mbele 21mp si kweli. hii simu camera ya mbele ina 8mp na ya nyuma 21 mp. naomba urekebishe post yako
1474948116997.png
 
kaka soma vizuri specification za simu hii, unadanganya unaposema camera ya mbele 21mp si kweli. hii simu camera ya mbele ina 8mp na ya nyuma 21 mp. naomba urekebishe post yakoView attachment 407476
Hata mimi nilitaka kushangaa tangu lini back camera ikawa na maana ya kamera ya mbele,ukiweka 21mp secondary je primary si itakua balaa kabisa
 
Duh Tecno ya million 1.. Yenye camera sensor sawa na iliyopo kwenye Xiaomi mi4c kwa Ile ndogo na ile kubwa ina sensor sawa na ya xperia z3+ *kwa mujibu wa sources nilizopitia *(kwa kifupi haiwezi shindana na camera yoyote kwenye simu high end ya mwaka huu au hata mwaka Jana) na processor yenye core 10 zisizo na faida .. Tecno punguzeni bangi kama mtu una akili timamu bora ukanunue One plus 3 au ZTE axon 7.

Au kama unapenda simu zenye ui za kichina, na ma core mengi , pamoja na dual camera chukua hata Huawei honor 8 kwa bei rahisi zaidi.
 
Chief tunakuomba uje utufafanulie hapa
mkuu tushalizungumzia sana humu jukwaani, megapixel si quality ya camera ni ukubwa wa picha, jinsi megapixel zinavyokuwa nyingi ndio jinsi picha zinavyokuwa kubwa. mfano unahitaji kupigwa picha uekwe kwenye bango la barabarani ndio utahitaji megapixel nyingi ila matumizi ya kawaida hata megapixel 2 zinatosha. kitu muhimu kwenye camera ni aina na ukubwa wa sensor ya camera. unapokuwa na sensor kali na kubwa basi mwanga utaingia mwingi na hata picha zitakuwa angavu. kuna mtu amepost sensor yake yaani sony imx 230 kama ni kweli si sensor mbaya ni ya mwaka 2014 kama unataka kuona quality yake lenovo vibe x3 wametumia sensor hii hii


kuhusu hio soc yaani mediatek helio x20 ina mambo haya mtu anasakiwa ayajue

inatumia ddr3 badala ya ddr4
wakati hadi fLagship za mwaka jana na juzi kama vile galaxy s6 zinatumia ram za lpddr4 tayari hii soc ya helio x20 inatumia lpddr3 ambazo ni ram za kizamani nsa zinatumika kwenye simu za bei rahisi. ukiwa na ram ya ddr3 inakula zaidi umeme na pia haipitishi bandwidth nyingi kama ddr4 hebu angalia hii graph
RAMPerf.jpg

hapo unaona lpddr3 inakula umeme mwingi na ipo slow compare na lpddr4

single chanell badala ya dual chanell ram
simu za kisasa na flagship soc (processor) zake zinakuwa na dual chanell hivyo kupitisha data mara nyingi zaidi ya single chanell
mfano angalia hii test ya single na dual chanell
YE49CDJ.png


sasa imagine simu ina single chanell lpddr3 na nyengine ni dual chanell lpddr4 tofauti ya perfomance ipoje?

haikai na chaji kama wanavyosema
simunyingi ambazo zinatumia helio x20 hazikai na chaji, moja kati ya makampuni yaliyoitumia ni meizu, meizu pro 5 ilitumia exynos 7470 wakati pro 6 ilitumia helio x20 pro 6 ilikuwa na battery ndogo kwa mah 500 lakini ilipitwa karibia nusu nzima
gsmarena_001.jpg

gsmarena_001.jpg


manufacturing process
yenyewe inatumia 20nm wakati flagship za kisasa ni 14nm ambazo zina perfomance zaidi na pia hazili sana umeme

bei
simu za helio x20 zinapatikana kwa bei rahisi sana
, mfano le eco le 2 ipo kenya around 17,000 hadi 18,000 hivi, kwa hela za kibongo bongo ni kama shilingi laki 4 au chini ya hapo. nasubiria bei ya Tecno watakayotoa na wale wanaowatetea kuwa ni wakombozi wa maskini
 
mkuu tushalizungumzia sana humu jukwaani, megapixel si quality ya camera ni ukubwa wa picha, jinsi megapixel zinavyokuwa nyingi ndio jinsi picha zinavyokuwa kubwa. mfano unahitaji kupigwa picha uekwe kwenye bango la barabarani ndio utahitaji megapixel nyingi ila matumizi ya kawaida hata megapixel 2 zinatosha. kitu muhimu kwenye camera ni aina na ukubwa wa sensor ya camera. unapokuwa na sensor kali na kubwa basi mwanga utaingia mwingi na hata picha zitakuwa angavu. kuna mtu amepost sensor yake yaani sony imx 230 kama ni kweli si sensor mbaya ni ya mwaka 2014 kama unataka kuona quality yake lenovo vibe x3 wametumia sensor hii hii


kuhusu hio soc yaani mediatek helio x20 ina mambo haya mtu anasakiwa ayajue

inatumia ddr3 badala ya ddr4
wakati hadi fLagship za mwaka jana na juzi kama vile galaxy s6 zinatumia ram za lpddr4 tayari hii soc ya helio x20 inatumia lpddr3 ambazo ni ram za kizamani nsa zinatumika kwenye simu za bei rahisi. ukiwa na ram ya ddr3 inakula zaidi umeme na pia haipitishi bandwidth nyingi kama ddr4 hebu angalia hii graph
RAMPerf.jpg

hapo unaona lpddr3 inakula umeme mwingi na ipo slow compare na lpddr4

single chanell badala ya dual chanell ram
simu za kisasa na flagship soc (processor) zake zinakuwa na dual chanell hivyo kupitisha data mara nyingi zaidi ya single chanell
mfano angalia hii test ya single na dual chanell
YE49CDJ.png


sasa imagine simu ina single chanell lpddr3 na nyengine ni dual chanell lpddr4 tofauti ya perfomance ipoje?

haikai na chaji kama wanavyosema
simunyingi ambazo zinatumia helio x20 hazikai na chaji, moja kati ya makampuni yaliyoitumia ni meizu, meizu pro 5 ilitumia exynos 7470 wakati pro 6 ilitumia helio x20 pro 6 ilikuwa na battery ndogo kwa mah 500 lakini ilipitwa karibia nusu nzima
gsmarena_001.jpg

gsmarena_001.jpg


manufacturing process
yenyewe inatumia 20nm wakati flagship za kisasa ni 14nm ambazo zina perfomance zaidi na pia hazili sana umeme

bei
simu za helio x20 zinapatikana kwa bei rahisi sana
, mfano le eco le 2 ipo kenya around 17,000 hadi 18,000 hivi, kwa hela za kibongo bongo ni kama shilingi laki 4 au chini ya hapo. nasubiria bei ya Tecno watakayotoa na wale wanaowatetea kuwa ni wakombozi wa maskini

pamoja sana chief
 
Honestly am not familiar with tcno brand hata iwe quality vipi...

Kuna kitu kinaitwa Samsung Galaxy A9...ni Noumer!
 
Acha uongooo

Camera
  • Rear: 21 megapixel, autofocus, Sony camera with LED flash
  • Video recording: 1080P HD
  • Front-facing: 8 megapixel with LEX flash
 
Back
Top Bottom