Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Na si tecno pekee, hata samsung waliwahi iga iphone 6, ukiangalia design utajua iphone kiboko
Au sio
1474995528964.jpg
HTC one m7 imetoka February 2013 iPhone 6 imetoka September 2014... wamecopy copy kosa lipo wapi?
 
Tecno imesababisha watanzania wengi tuzijue smartphone.
Simu za tecno ni nzuri pia bei yake ni rahisi kiasi kwamba wengi wetu tumeweza kuzinunua.Nawapa hongera tecno kwa hilo
 
Duh Tecno ya million 1.. Yenye camera sensor sawa na iliyopo kwenye Xiaomi mi4c kwa Ile ndogo na ile kubwa ina sensor sawa na ya xperia z3+ *kwa mujibu wa sources nilizopitia *(kwa kifupi haiwezi shindana na camera yoyote kwenye simu high end ya mwaka huu au hata mwaka Jana) na processor yenye core 10 zisizo na faida .. Tecno punguzeni bangi kama mtu una akili timamu bora ukanunue One plus 3 au ZTE axon 7.

Au kama unapenda simu zenye ui za kichina, na ma core mengi , pamoja na dual camera chukua hata Huawei honor 8 kwa bei rahisi zaidi.
mkuu akina xiaomi au oneplus tunazipata vip bongo
 
Ukumbuke Samsung zinalipuka zenyewe ziki chajiwa
anaye miliki cm ya tecno utamjua tu. Debe kwa kwenda mbele. Kuungua au kuwaka moto hiyo ni ajali tu. Kwani wewe ulifikiri unachaji kwa kutimia maji?
 
Back
Top Bottom