Wengine wanatumia huku wakijifichaTecnonino mnafikirisha sana mbongo zenu kujitetea na kujipa matumaini wakat moyoni hamna furaha na simu zenu. Hata wale wa chitchat tutegemee watadondosha hoja nzito sana.
No. 1 ndo jibu sahihi zaidi... bahati mbaya huo ndio ukweli mchunguHemb tuwe wakweli watu weng hutumia tecno kwa sbb ya either
1. Njaa(hili n suala la kawaida)
2. Ubahili(Nature na weng wapo kwenye kund hili)
3. Kutokua na uelewa wa ubora wa makampun mengne, kudanganyana(anakuambia tecno ina camera nzur sana, unaijua samsung wewe?) na urahisi wa upatkanaji
4. Mawazo mgando (Eti ikipotea au kuharbika siingii gharama kubwa.
5. Mkumbo, wateja wa tecno wanaongoza kwa kuigana, unakumbuka enz za H6, C8, C9, BOOM J7? ASAIV SPARK SERIES, yan ukpta pale aggrey ukiangalia chin kila boks lilitupwa ilikua n H6, c8, c9, boom j7 leo hii n spark, halaf wanakuaga na haraka kinyama, yan kabla hujamuwekea accessories za cm kwenye boks ashabeba cm amesepa na ma selfie kibao ashapiga,
Sent from my iphone x and samsung galaxy note 9 at once, nimezinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama
Wapondaji wengi wa Tecno wengi wao huwa ni walimbukeni tu.Hemb tuwe wakweli watu weng hutumia tecno kwa sbb ya either
1. Njaa(hili n suala la kawaida)
2. Ubahili(Nature na weng wapo kwenye kund hili)
3. Kutokua na uelewa wa ubora wa makampun mengne, kudanganyana(anakuambia tecno ina camera nzur sana, unaijua samsung wewe?) na urahisi wa upatkanaji
4. Mawazo mgando (Eti ikipotea au kuharbika siingii gharama kubwa.
5. Mkumbo, wateja wa tecno wanaongoza kwa kuigana, unakumbuka enz za H6, C8, C9, BOOM J7? ASAIV SPARK SERIES, yan ukpta pale aggrey ukiangalia chin kila boks lilitupwa ilikua n H6, c8, c9, boom j7 leo hii n spark, halaf wanakuaga na haraka kinyama, yan kabla hujamuwekea accessories za cm kwenye boks ashabeba cm amesepa na ma selfie kibao ashapiga,
Sent from my iphone x and samsung galaxy note 9 at once, nimezinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama
Camon X iko vizuri .. endelea kuenjoy mkuuTecno camon x
hahaaaWale wa IPhone tunaweka wapi Reply zetu?
hahaaMzk wa tekno utauona ikimaliza mwaka mmoja toka uinunue....yaan hii yangu Mara ijizime,Mara nikiwasha data istucj hadi nireboot,Mara inasearch mambo ambayo sijataka yaan taabu tupu.
w5 kavu ndio nzuri zaidi, bila shaka hiyo yako haina fingerprint sense!.. Ila zishatolewa sokoni w5 aina zote wamebakiza w4,w3 ambayo sawa na vitochi tu!. Spark Series ndio mbadala wa w5!..Natumia tecno w5 lite,wadau iko vipi hiyo
Wapondaji wengi wa Tecno wengi wao huwa ni walimbukeni tu.
Siyo upepo tu kaandika kwa mihemko kinyamaa
Take it easy brothers, hapa n furahsha genge tu, huwez amin ila baada ya samsung yangu kwenda na wenye mikono mirefu hapa natumia nokia n73 ya mwaka 2006(12 yrs ago) na nilitoa 125k kuinunua miez minne iliyopita, Kwa sbb zangu binafsi tecno siwez kutumia kiukweli ila sipondi watumiaji n suala la uchaguz ndo mana mwingne anaweza anishangae natoa 125k kununua cm ya mwaka 2006 kikwete ana mwaka mmoja kweye uraisUmeandika upepo kama betri za samsung!
Ni kazi sana kuishi katika namna usiyoipenda kwa sababu tu hali imekulazimisha.Wengine wanatumia huku wakijificha
Naogopa kuitwa mchocheziUncle magu mwenyewe ni mteja wa Tecno unamaanisha nae ana Njaa mkuu?
Yangu ina mwaka aija stack.Tecno baada ya miez 6 inastack
Enzi hizo ndo tecno iliyokuwa ina bambaAsa M5 uliingia kichaka