Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Bei ya Spark K7 ni Tsh 220,000 mpaka Tsh 20,0000 unapata. Bei ya Spark Plus K9 ni Tsh 280,000, 250,000 mpaka 240,000 unapata. Simu hizi Watanzania wengi wanazimudu tatizo jamaa hawaaminiki...
Sorry mkuu! Hizi hizo Xiaomi Redmi 4a zipo bongo, na bei zake zikoje?-1GB ram
-haina 4g
-mchina
-bei laki 2 na zaidi
bora tu ujilipue na xiaomi redmi 4A
Sio boundaries, huwa wanaziita bezzels..ni design mpya ya simu. Wote wanakuja na bezzeless design wakiwamo samsung, iphone na Lg sony ndio hajabadilikaYani kama ni simu mazee niulizen mm ,,nunueni simu unique af za ukweli![]()
Hiyo ni doogee mix ni simu ya mwaka huu chekini specs zake gsm arena ni laki tatu tu,,nikipata hela nitaagiza hiyo nzuri sana
Selfie camera yake ipo chini ili screen iwe full haina boundaries
Haha sawa boss si unajua lugha imetwa na meli hii.. ila yap,,simu nzuri kwel iyoSio boundaries, huwa wanaziita bezzels..ni design mpya ya simu. Wote wanakuja na bezzeless design wakiwamo samsung, iphone na Lg sony ndio hajabadilika
Dah..., unaua sana jamaa yanguOooh TECNO again..
Hata ongezeko la watu wengi JF ni kwa sababu ya hao jamaa
Tatizo wafanyabiasha wanapandisha hizi simu za kawaida bei,nilikutana na Oppo f3 inauzwa laki sita hapa Arusha yote sababu inauwezo kama kina galaxy s6 basi nao wanazipandisha bei,hiyo ndio challenge kubwa kaka Acha tu labda mtu uagize-1GB ram
-haina 4g
-mchina
-bei laki 2 na zaidi
bora tu ujilipue na xiaomi redmi 4A
Hahaha bro wee mkali kulambwa tenaPhantom 6 plus sijawahi jutia hadi Leo 64gb ram 4gb unataka nn sasa kulambwa au![]()






true, na bei ikishakuwa sawa na brand kubwa na specs zikifanana kunakuwa hakuna tena haja ya kununua mchina.Tatizo wafanyabiasha wanapandisha hizi simu za kawaida bei,nilikutana na Oppo f3 inauzwa laki sita hapa Arusha yote sababu inauwezo kama kina galaxy s6 basi nao wanazipandisha bei,hiyo ndio challenge kubwa kaka Acha tu labda mtu uagize