Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Hapa tuuu naomba maelezo kidogo mkuu.
mi mwenyewe mwanafunzi mambo haya ila nitajieleza kadri ninavyoelewa.
mitandao ya simu kama vodacom wanaporusha network yao wanatumia band mbali mbali. ili simu ipate hio network inabidi isuport hizo band.
kwa tanzania mitandao yetu inasuport karibia band zote kasoro 1700mhz sijaiona. hapa ina maana simu inaposuport band nyingi ndio inavyokua nzuri kwenye kukamata mtandao.
case kama hii unakuta mpo eneo fulani wote mnatumia mtandao mmoja lakini simu moja ina network na nyengine haina ina maana ile yenye network itakua ina band nyingi zaidi kuliko ile ambayo haina.
case nyengine ni hizi simu za t-mobile kama ushawah kutana nazo huwa hazishiki 3g hapa tanzania sababu t-mobile 3g yao wanatumia 1700mhz ambayo mitandao yetu haina.
hii band ya 2100 inakubali mitandao yote hapa tanzania lakini simu ikiwa na extra band ni vizuri sababu huwez jua utaenda wapi au kitu gani kitatokea kwenye mtandao.
mfano wa simu ambayo ipo strong kwenye kudaka network ni iphone 5 ambayo ina band karibia zote duniani.
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - GSM A1428
CDMA 800 / 1900 / 2100 - CDMA A1429
3G Network HSDPA 850 / 900 / 1700 / 1900 / 2100 -
GSM A1428
CDMA2000 1xEV-DO - CDMA A1429
4G Network LTE 700 MHz Class 17 / 1700 / 2100 - GSM
A1428
LTE 850 / 1800 / 2100 - GSM A1429
LTE 700 / 850 / 1800 / 1900 / 2100 - CDMA
A1429
hapa inamaana ukiwa na simu hii unadunda popote duniani