Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

.
<?Nitengeze kitu kwaajili ya kuuza Tanzania.....
Kitapenyaje sasa ulaya
.
Tecno wame invest kwa nchi masikini huku afrika....
.
Waliachana na soko la india....
Wakaona wa base afrika pekee?>
.

TECNO walishasema wao market yao ni Africa tu. Na Vice President wa TECNO aliwahi kutoa statement akasema "If you have failed in Africa where else could you go?"
 
Sisi tunasemwa ni ant tecno ila hata moto g ikiingia still watu watanunua tecno. Mazoea tu ya watu.
 
mie nitanunua
12(1).jpg



kuliko kununua hii

t4.jpg



mtu na akili zake atakuja aseme hii ni nzuri kwa sababu ina weka laini nne, inapiga muziki na blah blah kibao

kisha ataniambia naangalia majina,
 
mie nitanunua
12(1).jpg



kuliko kununua hii

t4.jpg



mtu na akili zake atakuja aseme hii ni nzuri kwa sababu ina weka laini nne, inapiga muziki na blah blah kibao

kisha ataniambia naangalia majina,

Mkuu embu tusaidie kidogo hapo......utatumia vigezo gani kununua hiyo ya juu na kuacha hiyo ya chini. Msaada tafadhali
 
mie nitanunua
12(1).jpg



kuliko kununua hii

t4.jpg



mtu na akili zake atakuja aseme hii ni nzuri kwa sababu ina weka laini nne, inapiga muziki na blah blah kibao

kisha ataniambia naangalia majina,

Mhhhhhhhh! Purely anti-Tecno.
 
Mkuu embu tusaidie kidogo hapo......utatumia vigezo gani kununua hiyo ya juu na kuacha hiyo ya chini. Msaada tafadhali

Ubora, idondoshe, iweke kwenye maji kitu kinapeta tu. Vipi lakini mchina? Ukianguka hadithi imeishia pale...

Accessories kama battery na vingine vinapatikana..

Vipi mchina unakuta iyo model iko peke yake
 
Ubora, idondoshe, iweke kwenye maji kitu kinapeta tu. Vipi lakini mchina? Ukianguka hadithi imeishia pale...

Accessories kama battery na vingine vinapatikana..

Vipi mchina unakuta iyo model iko peke yake

Aisee. Sawasawa mkuu
 
Uchambuzi mzuri sana, isipokuwa umechambua vitu viwili tofauti kabisa
 
mie nitanunua
12(1).jpg



kuliko kununua hii

t4.jpg



mtu na akili zake atakuja aseme hii ni nzuri kwa sababu ina weka laini nne, inapiga muziki na blah blah kibao

kisha ataniambia naangalia majina,
.
Naamini una sim card zaidi ya mbili za mitandao tofauti....
.
Iweje uchague hii
.
12(1).jpg

.
 
Mtoa mada kaja hapa kuipaisha Tecno hii inajionesha dhahili haihitaji upeo wa hali ya juu kuliona hili, huwezi linganisha Tecno Phantom A+ na GS4 unaposema Phantom A+ ina Processor ya 1.2GHz Dual Core useme na ni processor aina gani hiyo sio unasema Crock speed tu, Phantom A+ inatumia Processor ya Meatec wakati S4 ina Snapdragon 600 au Exynos 5, ningeona maana sana kama ungeshauri watu wanunue Phantom A+ kwasababu ni bei nafuu sio kwa sababu inafanana na S4, pia ikumbukwe kua utakapo nunua hiyo Phantom A+ na Android 4.2.1 ujue hapo ndio mwisho wake usitegemee kupata future android updates wakati S4 ina Android 4.3 Update na Feb/Mar Android 4.4.2 is on it's way


Mwisho: Tunanunua Simu kutokana na Mahitaji na Uwezo wa mtu BINAFSI.
 
C6 njunwa wamavoko

Kauli ilonifanya niseme Bange hizo ni hii:-
"Hii ni kwa sababu inafanya vitu vyote ambavyo Samsung Galaxy S4 inafanya."..!&#65292;
hivi ni kweli phantom inafanya vitu vyote ambavyo s4 inafanya..

bora angeshndanisha na s4 clone,japokua matokeo yangekua yaleyale yaani s4 clone ingeshinda..

nasisitiza kauli yangu kwa kusema "MLETA MADA ALIVUTA BANGE BILA KULA NDO AKAJA KU-POST HAPA"..

wapi chief-mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Kilichobaki ni kununua simu kulingana na mahitaji yako na kipato chako. Sio mambo ya kuambiana acha hii chukua hii. Soma specification za simu + price tag, ukiona inakufaa then nunua. Regardless of brand
 
in 1000 years siwezi recommend kwa mtu anaeniomba ushauri anunue simu gani nimwambie anunue tecno. Zipo low end smartphone ambazo sina wasiwasi nazo hata ambazo hazina majina makubwa, tatizo letu sisi tunataka vitu vikubwa kwa gharama ndogo.

Waswahili wanasema kizuri gharama...
 
in 1000 years siwezi recommend kwa mtu anaeniomba ushauri anunue simu gani nimwambie anunue tecno. Zipo low end smartphone ambazo sina wasiwasi nazo hata ambazo hazina majina makubwa, tatizo letu sisi tunataka vitu vikubwa kwa gharama ndogo.

Waswahili wanasema kizuri gharama...

Mkuu kati ya TECNO smartphone yoyote na HUAWEI Y300 unamshauri mtu anunue ipi?
 
Mie ninafikiri mtoa Ngoja amejitahidi sana kufanya comparison hiyo kumfanya mlaji achague kipi kitamfaa kadri ya uwezo wake.

Pili nichangie kidogo on tecno. Zimeponzwa sana na jina lake maana matoleo yake ya mwanzo yalikuwa hovyo sana nafikiri watu wakapata conception kuwa techno zote ni mbaya lakini si hivyo.

Kingine, Nilikuwa China Shanghai majuzi..sikubahatika kuona tecno katika duka au mall yoyote. Sasa tusemel hizi tecno ni kwa ajiri ya Africa tu?
 
.
Yaaani we ndo unapotea njia kabisa.....
.
Joe Nyandigira Huyu yumo kwenye the best list of ANTI-TECNO
.
Ni sawa na WP chief-mkwawa
hata iweje hatokuja ku support TECNO....
.

Mkuu nimeuliza hivyo ili nijue kama hao anti tecno watathubutu kumshauri mtu anunue huawei y300 badala ya tecno.
 
Last edited by a moderator:
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na maswali mengi, ubishani na maneno kwamba Tecno Phantom A na Samsung Galaxy S4 zinafanana na zina uwezo sawa.

Kutokana na hilo, nimeona ni vyema nikazifananisha simu hizi kwa mwonekano na uwezo pia ili kama unataka kununua, ufanye maamuzi sahihi!

Simu zenyewe ndo hizo hapo chini kama unavyoziona kwenye picha!
View attachment 135107

Kwanza nitaanza kuzifananisha bei.
Tecno Phantom A: Tshs. 358,442.75
Samsung Galaxy S4: Tshs. 935,933.87

Hizi ni bei za makadirio. Bei zinaweza kuwa tofauti kulingana na mahali ulipo na duka pia. Ila kwa wastani, Samsung Galaxy S4 ina bei mara 3 zaidi ya Tecno Phantom A.

Tecno Phantom A ni nene Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4. Pia ni nzito na ndefu Zaidi kuliko Samsung Galaxy S4.

Simu zote mbili zina screen za nchi 5. Resolution zake zipo kama hivi:
Tecno Phantom A: 1220 X 720
Samsung Galaxy S4: 1920 X 1080

Tofauti inapokuja kati ya hizi simu mbili ni Teknolojia iliyotumika katika kutengeneza screen zake. Samsung Galaxy S4 ina Super Amoled Screen wakati Techno Phantom A inatumia TFT Technology. Hii inamaanisha kwamba Display ya Samsung ipo sharp Zaidi. Ila kama haupo sensitive sana, ni ngumu kuona utofauti katika mwonekano wa vioo vya simu hizi.

Sasa ngoja tuongelee Camera za simu hizi zote mbili:

Samsung Galaxy S4:

  • Camera ya nyuma in 13 MegaPixel na inaweza ku-record video katika full High Definition. Ya mbele ina 2 MegaPixel.
  • Software ya Camera imeongezewa features nyingi pia.

Tecno Phantom A:

  • Camera ya nyuma ina 8 MegaPixel na ya mbele ina 1.2 MegaPixel. Camera hii ya nyuma inauwezo sawa na Camera zinazopatikana kwenye simu maarufu kama vile IPhone 4s, 5s na 5c. Sio mbaya kwa matumizi ya kawaida ingawa quality inakuwa chini kidogo ukifananisha na picha iliyopigwa kwa Samsung Galaxy S4.
  • Software ya Camera ni ya kawaida ambayo originally inakuja kwenye Android bila features zozote zilizoongezwa.

Sasa ni vyema tukatazama Operating Systems kwenye simu zote mbili. Simu zote hizi ni za Android 4.2. Ila Samsunga Galaxy S4 inakuja na Android 4.2.2 na Tecno Phantom A inakuja na Android 4.2.1.

Android inayopatikana kwenye Samsung Galaxy inakuja na Features & Customizations nyingi ambazo zimeongezwa ambazo hizo zinaipa look na feel ya Samsung.

Kwa upande wa pili, Android ya kwenye Tecno Phantom A, inakaribia kuwa sawa na Android Halisi inayotolewa na Google. Hawajafanya customizations ili angalau ilete mwonekano wa Ki-tecno Zaidi. Labda kwenye matoleo yajayo itafanyiwa marekebisho ingawa hata sasa bado inaonekana kuwa sexy!

Technical Specifications:
Tecno Phantom A:
Tecno Phantom ina Dual &#8211; Core Processor ambapo kila Core ina 1.2 GHz. RAM yake ni 1GB. Uwezo huu kwa simu ni wa kawaida na ni mzuri pia kwa shughuli za kila siku. Pia inafaa kwa kuchezea ma-game mazito kwa wale gamers.

Samsung Galaxy S4:
Kwa upande wa Samsung Galaxy S4, uwezo wake huku ni amazing. Ina processor yenye 8 cores. Cores 4 za kwanza kila mmoja ina uwezo wa 1.6 GHz na Cores 4 zinazobaki kila mmoja ina 1.2 GHz. RAM yake ni 2GB.

Specifications hizi ni Zaidi ya mahitaji ya simu. Sijui kama kuna Application yeyote ya simu duniani inayohitaji simu ya uwezo mkubwa kiasi hiki. Mimi naweza kusema ni wastage na labda ndo inayochangia simu hii kuwa na bei kubwa.

Kuwa na simu hii ni sawa na kubeba Computer kubwa na kutembea nayo barabarani!
Note: Kwa wageni kwenye teknolojia.

Tunaposema Processor ina Dual Core Processor, tunamaanisha kwamba ndani ya processor moja, kuna vi-processor vidogo viwili. Hii ina maana kwamba kupata speed kuu ya simu yako, unazidisha hiyo 1.2 kwa Tecno mara 2.

Kwa maana hiyo hiyo, Samsung Galaxy S4 ina vi-processor 8 ndani yake.

Hitimisho:
Nikitakiwa leo kununua simu, basi nitanunua Tecno Phantom A. Hii ni kwa sababu inafanya vitu vyote ambavyo Samsung Galaxy S4 inafanya. Pia inapatikana kwa bei ndogo na inaruhusu kuweka line 2 kwa wakati mmoja.

Kwa mtazamo wangu, kumiliki Samsung Galaxy S4 ni sawa na kuchezea hela. Labda kwa wale ndugu zangu akina Ngosha na Wahaya ambao kuwa na kitu cha gharama kunamaanisha High Status, hawa inawafaa hii Samsung Galaxy S4!
Nawasilisha.
Dogo, tutake radhi sisi wasukuma
 
Mie ninafikiri mtoa Ngoja amejitahidi sana kufanya comparison hiyo kumfanya mlaji achague kipi kitamfaa kadri ya uwezo wake.

Pili nichangie kidogo on tecno. Zimeponzwa sana na jina lake maana matoleo yake ya mwanzo yalikuwa hovyo sana nafikiri with wakapata conception kuwa techno zote ni mbaya lakini si hivyo.

Kingine Nilikuwa China Shanghai majuzi..sikubahatika kuona tecno katika duka au mall yoyote. Swell ni he hizi tecno ni kwa ajiri ya Africa tu?

http://www.howwemadeitinafrica.com/...ns-why-it-only-does-business-in-africa/23521/
Fungua hiyo link hapo juu mkuu
 
Back
Top Bottom