mdhalendo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 282
- 273
.
<?Nitengeze kitu kwaajili ya kuuza Tanzania.....
Kitapenyaje sasa ulaya
.
Tecno wame invest kwa nchi masikini huku afrika....
.
Waliachana na soko la india....
Wakaona wa base afrika pekee?>
.
TECNO walishasema wao market yao ni Africa tu. Na Vice President wa TECNO aliwahi kutoa statement akasema "If you have failed in Africa where else could you go?"