Danpol kila siku unaanzisha mada mpya ya tecno,unauliza maswali unajibiwa,kesho unauliza yale yale kwenye mada mpya. Au unatoa sifa zile zile,mada mpya kila siku. Hata kama ni mapenzi hii ni too much.asubuhi unaleta mada ya tecno,jioni unafunga na mada ya tecno.
Tecno tatizo ni kuload slow ukiwa mbali na town specially kwa huku Arusha,pili ni quality ya picha kwani picha ya tecno ya laki na hamcn cwez linganisha na cmu ambayo naweza ipata used kwa hiyo bei tatu mimi natumia simu ya juu ikiwa kama asset anytime nikiwa nashida nauza napata cash yangu ambayo si ya hasara wakati kwa tecno hili ni ngumu kumuuzia mtu tecno used ni kazi na hata akichukua price itakua chini saaaana,napenda sana pia kucheza game haswa real football nakosa huondo tecno pia ni fan wa music muda wote nakosa huondo huo tecno quality ya music produced hapana ndio maana napenda blackberry na Nokia
Tuna mpango wa kuzima simu zisizo na viwango vya kimataifa simu gani europe yote na marekani haipo
Music umefanyaje?
Secondary camera 5mp uongo mtupu.!
Ndugu english inakupiga chenga au!chukua tecno weka earphones original then tafuta phone nyingine kama blackberry,nokia,samsung,sony ericsson au htc kisha angalia vifuatavyo.1-quality ya music produced,2-time ya kusikiliza music from when the battery is full to when its empty kisha leta ripoti
Tecno ni simu nzuri kwa matumizi ya kawaida, mfano wa matumizi ya simu yangu.
1. Server Manager android application
2. cPanel/WHM android application
3. Client Management Custom android application
4. Pingdom web tools
Kwa matumizi haya tu nahitaji processing power kubwa na simu iwe na uwezo ili kuweza run vyote kwa mpigo pasipo shida. Kwa kutumia ya chini ya 450000TSH (Phantom) huwezi fanya yote kwa ufasaha.
Sasa Hapo umeweza kufanya hato yote kwa kutumia simu ya Techno au? imeshindikana...au haiwezekani kufanya hayo yote kwa simu ya Techno???
Live Streaming mkuu nadhani ulitakiwa kuangalia net yako. Nimewahitumia Tecno P5 kuangalia mechi nzima.
Live streaming,mfano nmeshndwa kuangalia kombe la dunia kwa TECNO P9,ila nmeweza kwa Blackberry Q5..
hyo tecno ilkua haziishi sekunde 10 imekwama..
Tecno tatizo ni kuload slow ukiwa mbali na town specially kwa huku Arusha,pili ni quality ya picha kwani picha ya tecno ya laki na hamcn cwez linganisha na cmu ambayo naweza ipata used kwa hiyo bei tatu mimi natumia simu ya juu ikiwa kama asset anytime nikiwa nashida nauza napata cash yangu ambayo si ya hasara wakati kwa tecno hili ni ngumu kumuuzia mtu tecno used ni kazi na hata akichukua price itakua chini saaaana,napenda sana pia kucheza game haswa real football nakosa huondo tecno pia ni fan wa music muda wote nakosa huondo huo tecno quality ya music produced hapana ndio maana napenda blackberry na Nokia
Nadhani hujasoma vema post yangu. Hicho ndicho nilicho kuwa nikimuelezea niliye mquote.Ebana mimi sio mtaalamu sana lakini kwa kawaida kukwama kwama kwa streaming ni tatizo la network aisee...sasa usi diss vitu tu...
Shukrani kwa Mrejesho Mkuu, WaTz wanakamuliwa kizembe sana.....
kariakoo wamehama nadhani ni kukwepa kero za wateja wanairudisha cm kwa matengenezo.
Nilinunua Tecno P7 ndani ya mwezi mmoja ikaanza kustack, niliipeleka castama kea,iliwachukua mwezi kuitengeneza na mbaya zaidi nilipoichukua nikitaka kukonekti data ina niambia invalid Imei.
mkuu we uko arusha ip?
mbona sim za techno huku zinapga kazi fresh tu!
Msaada tafadhali, natumia tecno P3, nilitumia whatsApp kwa muda lkn kwa sasa inakataa. Nimejaribu kujisajili upya inakataa, inaleta option ya "Adjust date" zaidi ya hapo hakuna option endelevu. Msaada please!!!
poleeeeeeeee