Tecno mobile Mega Thread


povu jiiingi afu unatoa mifano isiyoendana.. kama ni test apo ungepata 1/50 tena hiyo 1 ni kwa kuremba mwandiko. #teamtechno ndo mpango mzima.
 
Tecno ni simu zetu kipato cha chini. Nina tab tecno N9, haitoi picha nzuri,na applications nyingi tu nashindwa kuzitumia. JF nipeni uvumbuzi.

Jaribu. Kudwnld app.nyngn y camera na hzo applications ambzo huwez kuzitumia ni kama ipi?
 
Tecno tatizo ni kuload slow ukiwa mbali na town specially kwa huku Arusha,pili ni quality ya picha kwani picha ya tecno ya laki na hamcn cwez linganisha na cmu ambayo naweza ipata used kwa hiyo bei tatu mimi natumia simu ya juu ikiwa kama asset anytime nikiwa nashida nauza napata cash yangu ambayo si ya hasara wakati kwa tecno hili ni ngumu kumuuzia mtu tecno used ni kazi na hata akichukua price itakua chini saaaana,napenda sana pia kucheza game haswa real football nakosa huondo tecno pia ni fan wa music muda wote nakosa huondo huo tecno quality ya music produced hapana ndio maana napenda blackberry na Nokia
 
jamani na mm mwenye p5 jinsi ya kusnapshoot screen ya cm.yangu
 
Jaribu. Kudwnld app.nyngn y camera na hzo applications ambzo huwez kuzitumia ni kama ipi?
Nime-downld apps za camera kama 3,bado tatizo linabaki. Apps zingine kama video camera - poor quality, mini opera, haisomi externa drive,nashindwa ku-save downlded materials
 
Nime-downld apps za camera kama 3,bado tatizo linabaki. Apps zingine kama video camera - poor quality, mini opera, haisomi externa drive,nashindwa ku-save downlded materials

Hilo lbd linategemea n uwezo wa camera ynywe iliyopo kwny simu.
Ila kuhusu opera c memory crd inasoma vzur kwny simu au?
 
mnaendelea kujifariji2 lkn tecno co cm yakujisifia:angry::angry:
 
Kutokana na kuwa thread nyingi zimekuwa zikifunguliwa na nyingi zikizungumzia yaleyale, nimeonelea kuziunganisha ili kupata thread moja yenye kila kitu kuhusu simu za tecno
 
Kutokana na kuwa thread nyingi zimekuwa zikifunguliwa na nyingi zikizungumzia yaleyale, nimeonelea kuziunganisha ili kupata thread moja yenye kila kitu kuhusu simu za tecno

vizuri sana. Jukwaa lilikua limevamiwa na tecno,kila muda tecno,tecno,tecno. Umefanya vizuri sana.
 
Danpol kila siku unaanzisha mada mpya ya tecno,unauliza maswali unajibiwa,kesho unauliza yale yale kwenye mada mpya. Au unatoa sifa zile zile,mada mpya kila siku. Hata kama ni mapenzi hii ni too much.asubuhi unaleta mada ya tecno,jioni unafunga na mada ya tecno.
 
Last edited by a moderator:

Kuna watu hakika malimbukeni,unakumbuka enzi za tritel?wenye simu nyembamba walikuwa wanahesabika,voda wakaja na siemens za kidole.zilipo enea wa vi-tritel wakaziita zile siemens "twanga pepeta".

Smartphone mguso zilipoingia zilikuwa kwa wachache.Tecno kamwaga za kwake imekuwa nongwa.

Rav4 zilipoingia wachache walizimiliki,zilipoenea zikaitwa "kitchen part" maana kila mwanamke anaimiliki.zinajaa kwenye kitchen party.

Ndivyo walivyo hawataki wengine wapate..
 
kweli kabisa mkuu mfano tuna post humu inaitwa ulimwengu wa fta;mtu akiwa na shida ya satelite tv anapost kule na si kuanzisha threat mpya.au mwngine unaitwa elimu ya bure kuhusu azam tv.sijaona mtu akiazisha post nyingine badala yake unapost humo na unapata msaada fasta.hivyo basi tecno team tunawaahauri anzisheni uzi wenu maana humu kila siku nikiingia jf nakutana na threat za tekno tu hadi mnakera
 
Nililetewa zawadi simu ya Nokia N3 lakini kumbe ilkuwa fake,ukiweka nyimbo mbili memory imejaa.Nikanunua samsung ikiwa na feature zote lakini nayo kumbe haikuwa original ndio maana nimeamua kununua Tecno nikiamini ya kuwa ni original kuliko kuwa na simu ya majina makubwa ambayo sio original.
 

Kumbe tatizo ulishikwa,pole hiyo inaitwa karibu mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…