Unapoozungumzia simu unagusia upande wa Hardware au Software ?
Applications haziwezi pata effects yeyote, na unapozungumzia kureset unakua haueleweki inshort pangilia vizuri maswali yako !
Na sioni umuhimu wakuondoa playstore kama una akili timamu na mawazo chanya.
Mollel me nataka za panya je ku update itakuaje
kuondoa Play Store inaweza kusababisha matatizo kama vile kuondokewa na Google Play Services ambayo huu ni msingi kwa Applications nyingine za Google kama YouTube, SnapSeed, Picasa au Google Plus..
Pia kumbuka Applications kutoka kwenye store za nje ya Google play zinakua loaded naalwares na illegal adwares,hivyo kuiweka simu yako katika hatari ya kuwa attacked na Virus..
USHAURI: Kama Play Store imechukua nafasi, jaribu unistall updates za System Applications nyingine kama Gmail, YouTube na kuondoa Apps za TECNO kama Palmchat.. USITOTE PLAY STORE tafadhali
Umuhimu wa Google playstore:
1. ku search na ku install software halali za android (legal and safe apps)
2. Kuondoa/Uninstalling software from the device
3. Inaweka kumbukumbu ya software zote ulizowahi ku Install, In case umesahau apps unazozipenda basi itakuwa saved kwenye playstore.
4. Inasaidia kujua ni updates zipi zimetoka mpya/ apps zipi zinahitaji updates automatically.
5. Inaonesha reviews za watu mbalimbali kuhusu apps pamoja na rating zao
Nilikua naona inajaza nafasi
kuondoa Play Store inaweza kusababisha matatizo kama vile kuondokewa na Google Play Services ambayo huu ni msingi kwa Applications nyingine za Google kama YouTube, SnapSeed, Picasa au Google Plus..
Pia kumbuka Applications kutoka kwenye store za nje ya Google play zinakua loaded naalwares na illegal adwares,hivyo kuiweka simu yako katika hatari ya kuwa attacked na Virus..
USHAURI: Kama Play Store imechukua nafasi, jaribu unistall updates za System Applications nyingine kama Gmail, YouTube na kuondoa Apps za TECNO kama Palmchat.. USITOTE PLAY STORE tafadhali
unapoondoa playstore ni sawa na kufunga mlango halali wa kuingizia mizigo bandarini, halafu unataka kutumia njia za panya
Mkuu hapo nenda kwenye Applications Manager.. tafuta Play Store then Clear Cache... baada ya hapo futa App Data.. then force stop..Mimi kwangu hii Play store inazengua kila nikitaka ku-install kitu inasema "No connection" wakati naweza ku-surf ktk web mbali mbali je nifanye ku-solve hili tatizo? OS ni Android 4.1.2