Tecno canon 12 inahitajika

Tecno canon 12 inahitajika

Yimakatso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
7,941
Reaction score
11,725
Habari.

Nahitaji mtu mwenye tecno camon 12 tubadilishane na spark 4 yangu.

Simu yangu bado ipo vuzuri mwonekano wa mpya haijatumika sana haina crack wala shida yoyote nimeamua tu kubadilisha mazingira nitumie camon 12 ambayo nilishawahi kuitumia nikavutiwa nayo.

Nipo Dar es Salaam.

Kama upo interested piga/ SMS namba

0686 909187
 
Habari.

Kama kuna mtu mwenye tecno camon 12 tubadilishane na spark 4 yangu ambayo haina shida hata kidogo simu bado mpya haijatumika muda mrefu.

Nimeamua kubadilisha mazingira nitumie camon 12 maana nilishawahi kuitumia awali hivyo nimeona niitumie tena.

Spark 4 yangu ni 4G LTE,32GB storage na 2GB RAM.

Napatikana Dar.

Piga simu au tuma msg namba

0686 909187
 
Bei ya camon 12 na spark ni kiasi gani?

Kwanini nasema hivyo nadhani option ya kuuza moja yenyewe kama yenyewe na kununua unayotaka ni nzuri zaidi.

Sababu huenda kuna matatizo ndani ya hio simu ambayo mtu anayagundua baada ya muda fulani.
 
Bei ya camon 12 na spark ni kiasi gani ?,
Kwanini nasema hivyo nadhani option ya kuuza moja yenyewe kama yenyewe na kununua unayotaka ni nzuri zaidi..., sababu huenda kuna matatizo ndani ya hio simu ambayo mtu anayagundua baada ya muda fulani...
Spark 4 nilinunua 250k na camon 12 nilinunua kipindi zimeingilia mwaka 2019 kwa 270k ila kwasasa zimeshuka sana.

Kama kuuza spark 4 ni 200k ili nitafute camon 12.

Ila spark 4 zipo vizuri zaidi ya camon 12 air unless iwe camon 12 pro ndo kubwa.
 
Biashara za kizamani hizo.

Mambo ya 'cheni bandia (fake) na pesa bandia.(fake)

Ushauri:
Uza hata kwa Bei ya hasara then jichange ununue mpya.
 
Biashara za kizamani hizo.
Mambo ya 'cheni bandia (fake)na pesa bandia.(fake)

Ushauri:
Uza hata kwa Bei ya hasara then jichange ununue mpya.
Mkuu wewe wasema biashara za kizamani ila mtaani tunafanya exchange kama kawaida maana huenda mie nimechoka kutumia simu fulani halafu kuna mwingine anaitaka na ameichoka abayotumia yeye.
 
Mkuu wewe wasema biashara za kizamani ila mtaani tunafanya exchange kama kawaida maana huenda mie nimechoka kutumia simu fulani halafu kuna mwingine anaitaka na ameichoka abayotumia yeye.
Duh! Haya bwashe! Naona unadumisha
Barter trade.
 
Mkuu wewe wasema biashara za kizamani ila mtaani tunafanya exchange kama kawaida maana huenda mie nimechoka kutumia simu fulani halafu kuna mwingine anaitaka na ameichoka abayotumia yeye.
kafanye huko mtaani kwenu acha kutusumbua mkuu
tuache tufuatilie kampeni tuone kama tutamchagua nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom