Technolojia iliyotumika hapa

Technolojia iliyotumika hapa

kwanza inatakiwa kua enabled, pili SMS inahitaji SMS PLAN tu, pia unaweza track kwa web ya avast hii inahitaji internet kuweza kutuma commands

Finally nimefanikiwa mkuu kitu inapiga siren mwanzo mwisho na ukijaribu kuzima inakataa na ukijaribu fanya Factory reset ya ku-press home+shut down+volume up kitu no response
point nyingine nimeona kwamba ukiflash ukaweka CYANOGEN ROMS basi umemaliza kazi ya hizi Antitheft lkn mm hata ile Option ya SETTINGS nimedisable ntaenable pale napotaka kuitumia

Leo ndo nimeshtuka kufanya hii kitu kwa devices zangu maana JANA chalii wangu kaibiwa S4 clone pale Kariakoo na unfortunately nilikuwa sija mpa hii elimu probably angeweza kuipata hiyo phone yake

Kweli Avast ni watu wa ukweli nimewapenda...sasa je hii ya HARD RESET jembe inamaanisha hata mwizi akifanikiwa kufanya factory reset bado uwezekano wa kum-track utakuwepo?

Hii Thread na hisi ni Fundisho zuri sana kwa wale wanaoibiwa simu maana watu wengi na mm nikiwemo bado wako-ignorant na hii issue
 
Samsung huws wanamfumo ambao unamuwezesha mtumiaji wa samsung kujulishwa kwa sms pindi simcard inapabadilishwa. Sms hii hubeba namba ya simcard mpya pamoja na sserial na kuituma kwenda katika namba ya mtumiaji aliyesajili hiyo samsung katika mfumo huo!
 
android lost....nimetumia iko powa sana...inakutumia sms ya new sim card number and serial yake, msg na call alizofanya.so unaweza hata kum track kupitia 3rd part .mie nillibiwa techno nikamtrack jamaa kwa siku tatu,nikapata number kumi za watu anaowasiliana nao sana ikiwemo ya mkewe na nymba ndogo...nikampigia anirudishie simu akachomoa...ila nilipomtajia list ya watu anaowasiliana nao,alikuwa mpole sana.aliniletea cm hadi kwa office na akaomba msamaha na hela ya bia juu.in short usnunue smartphone used unless muuzaji unamfahamu vizuri.
 
Ila Sidhan Apple Device kama huez toa hyo ktu........ Ukiweka IPSW mpyaaa KItu Ndo Bas Tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... So Still Solution For That z Easy as 123........ android nayo Uki wipe nayo bas tenaaaaaaa......
 
Ila Sidhan Apple Device kama huez toa hyo ktu........ Ukiweka IPSW mpyaaa KItu Ndo Bas Tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... So Still Solution For That z Easy as 123........ android nayo Uki wipe nayo bas tenaaaaaaa......

ushaaambiwa avast anti-theft rooted inakaa kwenye system files hivo hata u-wipe vp ni sawa na zero
 
ushaaambiwa avast anti-theft rooted inakaa kwenye system files hivo hata u-wipe vp ni sawa na zero
that makes me choose ios over android........ but still there z away kaka.... android tena...!! ingekua ios au windows ningeghairi ila android unakaka kuniambia hata niweke custom roms itabaki??? i dont think soooooooooo
 
Msaada tafadhali, niliibiwa simu aina ya blackberry pin yake ya blackberry messenger (bbm) bado ninayo vipi naweza kuipata? Kama ndio kwa kutumia njia gani?
 
that makes me choose ios over android........ but still there z away kaka.... android tena...!! ingekua ios au windows ningeghairi ila android unakaka kuniambia hata niweke custom roms itabaki??? i dont think soooooooooo

Custom ROMS ndo funga kazi kwa hizi apps zote za antitheft
Lkn game linakuja je kila simu unaweza kuiwekea custom roms e.g Phantom and all chinese gadgets? Je ni kila mtu anao huo ufahamu wa Custom roms
zingatia wezi wengi ni mateja,wapiga debe na rarely ukakuta wakali wa teknolojia wakaokota au kuiba simu
Na wale wanaouziwa bado hii kitu wanakuwa hawawezi kufanya

Zaidi ya YOTE ku-TRACK simu kwa IMEI ndo funga kazi soma attachment alizoweka mdau hapo juu ...unapeleka IMEI yako police wao wanajua cha kufanya
 
ndo ubaya wa custome roms... ni kwa wajanja wachache tuu.. pia kwa manufacture kama tecno na hawa g tide na itel n adim... ku root tuu n problem..........
 
Sijawahi sikia mtu kafanikiwa through hii kitu. Police yetu bado wako chini sana katika mambo ya Technology. Ila ngoja mkuu hapo atuletee report baadae...
Tema mate chini. Hiyo issue unakamatwa kiulaini kama kuku vile. Sasa hv ukinunua kitu cha wizi ni issue.
 
Mkuu hii kitu ipo namshukuru mungu amenisaidia sana maana jana niipata s4 yangu niliyokuwa nimeibiwa juzi pale Ubungo nilikuwa nashuka tu kwenye dala2 saa 11 alfajiri ili kupanda basi za mikoani jamaa walinizunguka mmoja kajarib kunichomoa wallet kugeuka nyuma sim sina ktk mfuko wa shati nikajua imekwenda nikapanda basi nikaondoka nafika Morogoro km saa 4 hivi nikapata mes ktk sim yangu nyingine niliyobypass no ya sim inayotumika ktk sim yangu ilibidi nishuke pale Morogoro nianze kufuatilia nikajarib kutuma tigopesa nikapata jina la yule bwana nikapanda hewani kumueleza akashangaa kishenzi kadai kuna washikaji wamekuja kwake kuijarib inshort niliinstal app inaitwa eset mobile security hii unasajili line yako tu mtu akitoa yako akaweka ingine sim inajibrock sametime inatuma taarifa ktk no yako uliyobypass pasipo yeye kujua no anayotumia na serial no ya sim yako pia s4 nayo ina program ya sim change alert hivyo ikabidi siku hiyo nirudi dar jana nikakutana naye jamaa kiulafiki kadai mdogo wake aliokota akamuuzia kwa 180000 ilibidi nimtoe 140000 maana alikuwa ni mjeda yuko pale mbagala kambi ya jeshi akanikabidhi sim yangu lkn naona hao vibaka wanawatumia hao wajeda ili wawalinde ktk dili zao

Mkuu nielekeze nami nina s4,ili niweze kufanya hayo maujanja!
 
Back
Top Bottom