ukiiba simu kama android ukipiga factory setting si rahisi kupatikana maana ni software tu inakua installed!!!
apple wanakunasa ila hizi galaxies kama nilivyosema hapo zinachakachulika maana kila kitu unaweza badilisha kuanzia rom, hadi kubadili imei sijui watakushkia wapi
sasa mkuu nimegundua kuwa hizi app unaweza LOCK simu remotely hivo pindi ukiibiwa tu unai-lock hivo... hiyo process ya kubadili ROM sijui itaweza kuwa possible tena
point nyingine sasa ni app gani nzuri....eset au avg maana inaonesha avg haitumi namba ya simu bali serial number?
please help.....maana nimelizwa sana
sasa mkuu nimegundua kuwa hizi app unaweza LOCK simu remotely hivo pindi ukiibiwa tu unai-lock hivo... hiyo process ya kubadili ROM sijui itaweza kuwa possible tena
point nyingine sasa ni app gani nzuri....eset au avg maana inaonesha avg haitumi namba ya simu bali serial number?
please help.....maana nimelizwa sana
Kiboko yao ni Avast Mobile security, ina feature inaitwa Hard reset Proof hata hard reset haiiondoi
hard reset ndo nn kaka?
je mwizi akibadili line akaweka yake kwenye avast ntatumiwa simu yake?
note:situmii samsung maana wanayo hii feature ni full chinese gadgets natumia
Mbona ziko nyingi sana app za dizaini hii...hata AVast mobile security wanayo na mimi ndo naitumia ambapo hata mtu akiformat simu yako bado unauwezo wa kuitrack kwa kutumia IMEI online, na kuna option nadhani ni kwa pro version hata simu isipokuwa connected online/internet bado inaweza i track kwa sms za kawaida..kuna ingine inaitwa droid lost kama sikosei nlishawahi itumia na zote ziko poa..
mm nataka ile --------- namba ya simu na sio IMSI ya Chip
Nimetafuta Crack ya Eset mobile security sipati
Anyone to help chief-mkwawa C6 NingaR
kama wewe ni mtumiaji wa iPad, iPod na iPhone unaweza kufanya steps zifuatazo ili kusecure device yako (kulingana na version ya IOS iliyopo kwenye simu yako)..Nina Mdogo wangu yuko chuo(jina nimeifadhi) baada ya kupokea hela ya field,research etc akapiga hesabu kile kiasi extra akakitenga na akatunza ili naye aje kumiliki Samsung S4 na Apple iPad
Basi katika pita pita yake mtaani akakutana na Samsung S4 used na sio clone na jamaa akamwabia kumuuzia 400,000/= basi jamaa akakubali simu ilikuwa katika Good condition kabisa tena ikiwa na charger yake na USB yake...Wakapanga wakutane siku fulani ili waweze kubidhiana hiyo mali basi dogo kailipia na kitu cha kwanza kaja kunitambia kuwa naye kashika S4 basi nikampa pongezi
Kumbe hiyo simu ilikuwa imeibiwa check kimbimbe chake sasa ikatokea simu moja kuna Manzi moja ikawa inamtumia message ikidai inasomea IFM inmfahamu dogo wangu na ingependa wakutane siku....check trick hiyo ya FBI vile kwa kuwa washamjua mwanachuo basi ikabidi waitumie jinsia ya kike itakayojidai mwanachuo ili waweze mkamata huyo dogorasi wangu...Siku waliyokuwa wamepanga ikafika na MANZI Ilimfuata chuo ile anatoka tu nje ya geti la chuo akakutana na hiyo mchuchu wakawa wanasogea ile wanaongea mara wakatokea POLICE wakamuuliza ONESHA SIMU yako simu akanyanganywa akapigwa Pingu akapelekwa Police kujibu mashitaka hiyo simu alitoa wapi...
Thank God aliachiliwa juzi tu hapa baada ya kunyea debe week moja kumbe in short hiyo simu walikuwa wanai-TRACK
:focus::focus: Sasa wataalamu wa simu emu tujezeni jamaani maana Mm smartphone zangu zimeibiwa nyingi tu ila hii technolojia ya ku-track simu sijajua unafanya je au Protocol gani unafuata maana DOGO kanambia leo hii mpaka na-post hii thread kuwa kuna mwingine alinunua Ipad tena dukani iliyo used na yeye amekamata akajitetea alinunua DUKA fulani huko kwao duka wanali-trace alisomeki tena linamilikiwa na mtu mwingine....Dogo mwingine wanasoma wote kaibiwa S3 lkn ameweza kuikamata tena huko Morogoro wakati imepotelea DAR
Sasa wakuu tusaidiane Ili Tuweze Ondokana na hili janga la wezi wa smartPhone....Protocol gani inafutwa I see maana kama sielewi kitu ninachoelezewa
SAMAHANI KWA SIASA NYINGI LKN HOPE NIMETENGENEZA SCENARIO ILI MUWEZE KUNIELEWA
tumia Avast Mobile Security + Avast Ant Theft ndio hua mimi natumia, zina leta Number,Location,Battery status na vingine vya muhimu
bila bila kitu haitumi hizo notification
sijui mm version gani hii inazingua
Avast Ant virus pekeyake haiwezi fanya kazi hiyo mpaka kuwe na addition app inaitwa Ant theft (wanaiita UPDATE) ndio inafanya kazi hiyo, fata link hii
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.avast.android.antitheft_setup
Mkuu nimeweka anti-theft rooted sio kwamba niliweka avast tu
sasa kitu ambacho sielewi nini kinaitajika ili line iliyowekwa itume Hizo notification...ni internet au sms plan ktk line iliyowekwa?