MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
WanaJF ninawapa pole sana kwa kile kilichotokea jana GONGO LA MBOTO mana hal ni mbaya sana. Kwa jins inavyoelezewa na jins nilivyoona ninawapa pole sana marafik ndugu jamaa na watanzania wenzangu waliokuwa wanaish huko. Mpe pole mwenzio co kuandika komputer imefail nini 2uu sawa