Technically Inawezekana? Online Whatsapp but Mtu Kalala

Technically Inawezekana? Online Whatsapp but Mtu Kalala

Kilichonifanya kushangaa ni yeye kudai alikua amelala ndio maana hakupokea simu wakati whatsapp yake ilikua inaonyesha yuko online

Hata asingekua ameacha writing board...mradi angekua ameopen app ya wasap angekua online muda wote...
Hiii hututokea wengi tuu...unakuta unachat huku unausingizi,unajikuta umelala kuamka asubuh app ya whatsapp iko on..
So ukiacha doubts zako za kimahaba,kitekelinalokujia yuko sahihi...
 
Akiiacha hivyo tuseme hata kwa siku mbili kama chaja na bundle inaruhusu, lakini bila kuigusa simu hata kidogo,

Nami nitaendelea kumuona online tu muda wote huo?


Unatakiwa kuelewa hivi !
WhasApp always huwa inaji refresh periodically background.

Ata uiache kwa miaka simu yako ikiwa na charge pamoja na data bundle yakutosha, ukituma sms zitaenda tu.

Wewe unapotuma sms kwa mtu flani, humtumii mtu ila unatuma kwenye server ya WhatsApp, server itarecord port number uliyotumia kati ya hizi 5223, 5228, 4244, 5242 na 5222, na pia namba ya simu ambayo unaitumia kama username yako kwenye server za WhatsApp na itarecord pia IP address yako.

Baada ya wewe kuitumia server sms ili iende kwa mtu flani then server itatafuta username ambayo ni namba ya huyo uliyemtumia nakuforwad hiyo sms kwake..

Then kupitia port of listening itakurudishia wewe ujumbe kwamba sms imefika kwakueka alama za tiki.
 
Humuamini mpenzi wako ndo maana unampekenyua hadi usiku wa manane.
 
Humuamini mpenzi wako ndo maana unampekenyua hadi usiku wa manane.
Kaka,
Lengo langu sio maswala ya kumuamini au kutomuamini, ndio maana sijaipeleka hii kule MMU,

Mi nimeshangaa tu ndio nikawa nataka kujua kama inawezekana!!
 
Wadau,

Happy New Year,

Msaada unahitajika please, Last night nilistuka usiku usingizini kama kawaida maana sio mara ya kwanza.

Then hupenda kuangalia saa ngapi kwenye simu, then whatsapp, Jamiiforums, Facebook vyote hupitia kutafuta usingizi.

Sasa basi nilishangaa kumuona Shemeji Yenu yuko "online" kwenye whatsapp muda huo then nikaamua kumpigia kumuuliza kulikoni.

Simu haikupokelewa kabisa, na kwa ushahidi nikarudi kwa whatsapp namba au conversion yake ku-screenshot ile "online" status then nikamtumia although ilionyesha double tick zisizo za bluu kwamba Imefika ila haijasomwa!!

Sasa basi asubuhi alikuja na utetezi kua alikua amelala kweli, ila ile online status ni kwa vile tu alikua akiandika kitu kwa whatsapp then hakumalizia Wala hakuondoka hapo kwenye writing board ndio maana alionekana online.

its possible mtu ukijiunga whatsapp kwenye simu hata ukibadilisha line unatumia whatsapp ya namba uliyosajilia, so kiufupi might be alitoa line yake akaingiza nyingine kitu ambacho hakizuii whats app kufanya kazi
 
Nipe namba yako nami nikupe yangu, kisha niiache simu yangu ikiwa kwenye writing board ya whatsapp kwa nusu saa au zaidi wewe uangalie huko kwako hii namba yangu inasomekaje
 
ngoja nikwambie ukiacha mobile data connected lazima iwe online
 
ngoja nikwambie ukiacha mobile data connected lazima iwe online

Huu sasa uongo,

tuseme iko connected but hujafungua, au ulifungua na ume-exit whatsapp sasa utaonekanaje online?
 
ukiingia whatsapp ukawa umeifunguo uko whatsapp lakn simu umeweka pembeni utaonekana online muda wote mimi hii unitokea mara nyingi watu uniona online usiku wakati nimeshalala kumbe nilikuwa whatsapp nikasinzia bila ku hide
 
Natumia whatsapp 2 kweny simu yangu,nimejaribu ku fanya kama jamaa alivyosema,ni kweli mtu ukiacha ktk writing board inaonesha upo online
kweli kabisa...hata ukiwa kwenye chat wall bado inaonesha upo online sasa kama mtu alichat halafu asitoke na akaacha simu yake akaendelea na shughuli nyngine ataonekana online
 
kweli kabisa...hata ukiwa kwenye chat wall bado inaonesha upo online sasa kama mtu alichat halafu asitoke na akaacha simu yake akaendelea na shughuli nyngine ataonekana online

At least I can breath now!!
 
Wadau,

Happy New Year,

Msaada unahitajika please, Last night nilistuka usiku usingizini kama kawaida maana sio mara ya kwanza.

Then hupenda kuangalia saa ngapi kwenye simu, then whatsapp, Jamiiforums, Facebook vyote hupitia kutafuta usingizi.

Sasa basi nilishangaa kumuona Shemeji Yenu yuko "online" kwenye whatsapp muda huo then nikaamua kumpigia kumuuliza kulikoni.

Simu haikupokelewa kabisa, na kwa ushahidi nikarudi kwa whatsapp namba au conversion yake ku-screenshot ile "online" status then nikamtumia although ilionyesha double tick zisizo za bluu kwamba Imefika ila haijasomwa!!

Sasa basi asubuhi alikuja na utetezi kua alikua amelala kweli, ila ile online status ni kwa vile tu alikua akiandika kitu kwa whatsapp then hakumalizia Wala hakuondoka hapo kwenye writing board ndio maana alionekana online.

Aaaah wife nilikua nimelala bhana mpaka untangazee! Ha ha haa ushamba huu.... kwani ukilala hiyo 'wasapu' inajua umelala, provided bundle ipo and apps ain't switched off.
 
Kuna apps ambazo zinakuwa zinakula bando hata kama hutumii "roaming data" ko mtu anaweza akawa anatumia app nyingine kabisa mfano IMO kwa kuwa anatumia data basi hata izo whatsapp atakuwa yupo online kwa kuwa whatsap haina option ya kulog out
 
jamani nimedownload fifa 15 ultimate team lakini sina product keys zake kwahiyo ambaye anazo nahitaji msaada wake please jamani au mtu mwenye link ambayo ntadowload nakuifanyia installation without products keys anisaidie please.
 
Back
Top Bottom