Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 886
- 1,010
Wadau,
Happy New Year,
Msaada unahitajika please, Last night nilistuka usiku usingizini kama kawaida maana sio mara ya kwanza.
Then hupenda kuangalia saa ngapi kwenye simu, then whatsapp, Jamiiforums, Facebook vyote hupitia kutafuta usingizi.
Sasa basi nilishangaa kumuona Shemeji Yenu yuko "online" kwenye whatsapp muda huo then nikaamua kumpigia kumuuliza kulikoni.
Simu haikupokelewa kabisa, na kwa ushahidi nikarudi kwa whatsapp namba au conversion yake ku-screenshot ile "online" status then nikamtumia although ilionyesha double tick zisizo za bluu kwamba Imefika ila haijasomwa!!
Sasa basi asubuhi alikuja na utetezi kua alikua amelala kweli, ila ile online status ni kwa vile tu alikua akiandika kitu kwa whatsapp then hakumalizia Wala hakuondoka hapo kwenye writing board ndio maana alionekana online.
Happy New Year,
Msaada unahitajika please, Last night nilistuka usiku usingizini kama kawaida maana sio mara ya kwanza.
Then hupenda kuangalia saa ngapi kwenye simu, then whatsapp, Jamiiforums, Facebook vyote hupitia kutafuta usingizi.
Sasa basi nilishangaa kumuona Shemeji Yenu yuko "online" kwenye whatsapp muda huo then nikaamua kumpigia kumuuliza kulikoni.
Simu haikupokelewa kabisa, na kwa ushahidi nikarudi kwa whatsapp namba au conversion yake ku-screenshot ile "online" status then nikamtumia although ilionyesha double tick zisizo za bluu kwamba Imefika ila haijasomwa!!
Sasa basi asubuhi alikuja na utetezi kua alikua amelala kweli, ila ile online status ni kwa vile tu alikua akiandika kitu kwa whatsapp then hakumalizia Wala hakuondoka hapo kwenye writing board ndio maana alionekana online.