Technically, huwezi shindana na serikali, never

Serikali ni wananchi, wananchi wanataka kutekwa wanapinga hoja za Gwajima😁
Zombie lingine hili hapa, we ni sehemu ya serikali? Wananchi wanamchagua tu Rais, Rais ndiyo anaunda serikali ili imsaidie kutekeleza aliyowaahidi wananchi.
 
Amani ya kweli haiwezi kuwepo pasipo haki na usawa wa kisheria kwa wote.
 
Nakubali.

Maslahi ya kina Gwajiboy yasituvurugue Nchi.
 
Hatuchezi... 😀 😀
 
Nimekudharau hapo chini na hilo li neno lako la hatuchedhii...hivi mkicheza mtaweka wapi sura zenu...acheni uzoba....
na li emoji la kucheka la nini sasa kwenye vitu siriaz...
 
Nimekudharau hapo chini na hilo li neno lako la hatuchedhii...hivi mkicheza mtaweka wapi sura zenu...acheni uzoba....
na li emoji la kucheka la nini sasa kwenye vitu siriaz...
MKuu hii ni akili kubwa...yenye PhD.... huwezi ELEWA we standard 7


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wacha magwajima yaendelee kugwajimika...
Ninachojua Hakuna mahala wanaenda.
 
Huna Akili wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…