Tech Hubs za bongo ni miradi ya watu wachache kupiga pesa za misaada (grants) za wazungu ? mbona hatuoni startups zikifanikiwa?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
ni miaka nenda rudi wazungu wanatoa dollar kuzisaidia Tech hubs za Tanzania lakini cha ajabu hatuoni matunda ila utakuta viongozi wa start ups wanatumia simu latest zenye bei mbaya, magari mazuri, apartment ghali, nguo za gharama, n.k.

Tetesi ni kwamba Grants zikifika bongo, wakuu wa hubs wachache wanagawana sehemu kubwa ya hio misaada, kinachobaki ndio wanatoa kwa watu wenye projects lakini bado huwa kuna kupeana kwa kujuana mfano uwe ndugu au rafiki wa flani, watu wenye real solutions na skills wanaweza wasizipate. vijana wengine wanachukuliwa wanazunguka nao kwenye matamasha na maonyesho yao, yakiisha maonyesho kila mtu atajijua mwenyewe hamna kinachoendelea, shughuli hizi wanaziandikia pesa nyingi kujustify matumizi ya zile pesa za misaada wanazopewa, mwaka ujao ni hivyo hivyo tena inakuwa kama cycle.
 
ni miaka nenda rudi wazungu wanatoa dollar kuzisaidia Tech hubs za Tanzania lakini cha ajabu hatuoni matunda ila utakuta viongozi wa start ups wana simu kali, laptops za bei, magari, apartment za bei, n.k.

Tetesi ni kwamba Grants zikifika wanazitoa kwa kujuana, watu wenye real solutions hawazipati, wanapata watu wa kwenye circle. vijana wanachukuliwa wanazunguka nao kwenye matamasha na maonyesho yao, yakiisha maonyesho kila mtu atajijua mwenyewe hamna kinachoendelea, shughuli hizi wanaziandikia pesa nyingi kujustify matumizi ya zile pesa za misaada wanazopewa, mwaka ujao ni hivyo tena.
Kwa mara ya kwanza na soma post iliyo na ukweli hapa. Kuna watu watanununa lakini bro umeongea 💯
 
Suala la kupata grants bora utafute mwenyewe tu na startup company yako na sio hizi za kupewa kupitia taasisi/shirika
 
ni miaka nenda rudi wazungu wanatoa dollar kuzisaidia Tech hubs za Tanzania lakini cha ajabu hatuoni matunda ila utakuta viongozi wa start ups wanatumia simu latest zenye bei mbaya, magari mazuri, apartment ghali, nguo za gharama, n.k.

Tetesi ni kwamba Grants zikifika bongo, wakuu wa hubs wachache wanagawana sehemu kubwa ya hio misaada, kinachobaki ndio wanatoa kwa watu wenye projects lakini bado huwa kuna kupeana kwa kujuana mfano uwe ndugu au rafiki wa flani, watu wenye real solutions na skills wanaweza wasizipate. vijana wengine wanachukuliwa wanazunguka nao kwenye matamasha na maonyesho yao, yakiisha maonyesho kila mtu atajijua mwenyewe hamna kinachoendelea, shughuli hizi wanaziandikia pesa nyingi kujustify matumizi ya zile pesa za misaada wanazopewa, mwaka ujao ni hivyo hivyo tena inakuwa kama cycle.
Inabidi ufahamiane na wazee wa costech bwashehe
 
ni miaka nenda rudi wazungu wanatoa dollar kuzisaidia Tech hubs za Tanzania lakini cha ajabu hatuoni matunda ila utakuta viongozi wa start ups wanatumia simu latest zenye bei mbaya, magari mazuri, apartment ghali, nguo za gharama, n.k.

Tetesi ni kwamba Grants zikifika bongo, wakuu wa hubs wachache wanagawana sehemu kubwa ya hio misaada, kinachobaki ndio wanatoa kwa watu wenye projects lakini bado huwa kuna kupeana kwa kujuana mfano uwe ndugu au rafiki wa flani, watu wenye real solutions na skills wanaweza wasizipate. vijana wengine wanachukuliwa wanazunguka nao kwenye matamasha na maonyesho yao, yakiisha maonyesho kila mtu atajijua mwenyewe hamna kinachoendelea, shughuli hizi wanaziandikia pesa nyingi kujustify matumizi ya zile pesa za misaada wanazopewa, mwaka ujao ni hivyo hivyo tena inakuwa kama cycle.
Haya mambo ukifatilia unakuwa chizi....
 
Bongo kila kitu ni connection kama ze blutooth divaisi is not redi to pea utalalamika sana
 
Back
Top Bottom