MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
Hongera TEC kwa kusimamia ukweli..
Dini zimehusishwa kwenye mchakato wa Katiba kama hawajaridhika kwanini wasitupe maelekezo sisi waliotuwakilisha? Hii kauli ya kaizari mpe kaizari inaonekana pale wanapotoa msimamo wao tu! ajabu sana mkuu ......kesho tutaambiwa wasijenge shule wala hospitali maana si kazi yao bali ya Kaizari siyo?
Katiba si siasa .....katiba inagusa makundi yote na wote wana uhuru wa kutoa msimamo ....