mwinula Jnr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 432
- 131
acha uwongo pengo hakusema kama huo ni msimamo wa kanisa ila alisema ni wake binafsi.kimsingi,wakati ule na sasa alikosea na aliropoka nje ya msimamo wa tec.msimamo wa tec ulikuwa "kukubaliana na mapendekezo ya rasimu ya warioba,ambao msingi wake ni wanachi.mwisho,unapoongea kitu brother jielimishe kwanza,usije kujifunzia humu jamvini.unakumbuka pengo kuna wakati wa bmk aliunga mkono serikali mbili na akasema ndio msimamo wa kanisa je hiyo haki alipata wapi?