TEC yamjibu Asha Rose Migiro Kuhusu Kura ya Hapana

.... Wataanza Kusema Askofu Niwemugizi Eti Siyo Mtanzania, Hahaha. Hakyanani Tutakufa Naye
 
Ukawa si viongozi wenu wamesema msusie kabisa kura msipige, hayo ya HAPANA yametoka wapi? Mmewasaliti viongozi wenu
 
Pengo yupo sahihi, kama kanisa, majukumu ya maaskofu na mapadre ni kuwa andaa waumini ili watende au wawe watu wema. Hata biblia inasema kwamba mpe kaisari yaliyo ya kaisali na mpe Mungu yaliyo ya Mungu.

Msimamo wa kanisa katoliki dhidi ya waumini upo wazi hasa kwenye maswala mengi ikiwapo na unywaji wa pombe, kwamba muumini anapaswa kutafakari mwenyewe na kutoa maamuzi sahihi. Hata hili la siasa, linapaswa huwa hivyo, waumini watafakari wenyewe kwa kina na kuwa na maamuzi.

Tusipoliona hili huko mbeleni kuna uchaguzi, si watasema kiongozi fulani kwa sababu hizi, msimchague nk?
 
Naomba nimwulize asha rose migiro swali dogo tu

tuchukulie kwamba baraza la maaskofu limewahamasisha wananchi kusema ndyo.. Je.... Asha migiro na serikali yake wangekuja juu?? Au kwa sababu msimamo huu unakinzana na mtizamo wa wanaojiiita watawala na chama??


Wananchi.. Ninaamini viongozi wa dini ndo wanatupeleka kwwnye mstari sahihi kuhusu kura ya katiba

SOTE TUIPIGIE KURA YA HAPANA

hakuna haja ya kushiriki huu uchafu wao! sisi UKAWA kamwe hatutashiriki hiyo kura ya maoni,maana HARAMU HAIWEZI ZAA HALALI BALI HALALI YAWEZA ZAA HARAMU! Mwandishi wa kinachoitwa katiba pendekezwa Andrew Chenge mwenyewe ndo hivyo alafu wanatwambia nini!
 
Pengo yupo sahihi, kama kanisa, majukumu ya maaskofu na mapadre ni kuwa andaa waumini ili watende au wawe watu wema. Hata biblia inasema kwamba mpe kaisari yaliyo ya kaisali na mpe Mungu yaliyo ya Mungu.

Msimamo wa kanisa katoliki dhidi ya waumini upo wazi hasa kwenye maswala mengi ikiwapo na unywaji wa pombe, kwamba muumini anapaswa kutafakari mwenyewe na kutoa maamuzi sahihi. Hata hili la siasa, linapaswa huwa hivyo, waumini watafakari wenyewe kwa kina na kuwa na maamuzi.

Tusipoliona hili huko mbeleni kuna uchaguzi, si watasema kiongozi fulani kwa sababu hizi, msimchague nk?

Kanisa linapaswa kuwatenga waumini na uharamia wowote..Kutokuwaambia wazi waumini wachukue njia ipi ni unafiki.

Kwani si unaambiwa wazi kufanya uzinzi ni kosa? Kwanini usiambiwe chagua mwenyewe kufanya uzinzi au kuacha!

Asante TEC...Kura ni HAPANA kwa Katiba Haramu
 
Unakumbuka Pengo kuna wakati wa BMK aliunga mkono serikali Mbili na akasema ndio msimamo wa Kanisa Je hiyo haki alipata wapi?

Unayosema sio sahihi. Pengo alichokisema ni msimamo wake yeye kama Pengo sio msimamo wa Kanisa. Ukumbuke kuwa Pengo si Kiongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania, yeye ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Kama Askofu naye pia ni mjumbe wa TEC ambayo inaongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania ambaye sio Pengo. Kauli inayotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ina uwakilishi mpana zaidi kwani ni kauli ya Maaskofu wengi zaidi kama sio wote nchini. Pengo anaweza kuwa amepinga kauli ya wenzake lakini haimaanishi kuwa anawakilishi Wakatoliki wote nchini.
 
[QUOTE=gfsonwin; Mkuu sio wakati wa kusema Kanisani acheni uzinzi bali ED acha uzinzi!!! Yesu hakuuma maneno!
 
Hilo kombora limerushwa kujibu kiburi cha Sita alisema wapuuzi, ccm ikamnyamazia ikimanisha kukubali alichokifanya Sita.

Sasa wanataka kuwaonesha jeuri na kudhihilisha sio wapuuzi. Nahapa ccm itajuta kujikweza, kiburiiiii

Hapo bado cuf wanajiandaa kukomeshea huko zanzibar.

Bado ndugu zangu waislam wataisukumizia ccm kombora la mwisho kwa kuwahadaa kuwaahidi mahakama hewa kinyume na katiba.

Siku ya kufa nyani miti yoooote huteleza. CCM hiyoooo ikitoweka.
 
Pengo yupo sahihi, kama kanisa, majukumu ya maaskofu na mapadre ni kuwa andaa waumini ili watende au wawe watu wema. Hata biblia inasema kwamba mpe kaisari yaliyo ya kaisali na mpe Mungu yaliyo ya Mungu.

Msimamo wa kanisa katoliki dhidi ya waumini upo wazi hasa kwenye maswala mengi ikiwapo na unywaji wa pombe, kwamba muumini anapaswa kutafakari mwenyewe na kutoa maamuzi sahihi. Hata hili la siasa, linapaswa huwa hivyo, waumini watafakari wenyewe kwa kina na kuwa na maamuzi.

Tusipoliona hili huko mbeleni kuna uchaguzi, si watasema kiongozi fulani kwa sababu hizi, msimchague nk?

Inategemeana kanisa linasimama kama nani kwa wakati huo...kuna wakati kanisa linasimama kama nabii...kwa hiyo linaweza kukwambia kabisa fanya hivi.

Mbona kanisa linapinga kabisa ushoga...tena waziwazi...mbona haliachi watu eti waamue

Kanisa linao uwezo wa kuzuia pale linapoona watu wanapotoka
 
Unayosema sio sahihi. Pengo alichokisema ni msimamo wake yeye kama Pengo sio msimamo wa Kanisa. Ukumbuke kuwa Pengo si Kiongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania, yeye ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Kama Askofu naye pia ni mjumbe wa TEC ambayo inaongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania ambaye sio Pengo. Kauli inayotolewa na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ina uwakilishi mpana zaidi kwani ni kauli ya Maaskofu wengi zaidi kama sio wote nchini. Pengo anaweza kuwa amepinga kauli ya wenzake lakini haimaanishi kuwa anawakilishi Wakatoliki wote nchini.

Watu wengi wanadhani pengo ni kiongozi wa kanisa Katoliki Tanzania...Administratively

Administratively pengo sio Kiongozi wa kanisa....Kiongozi ni Baraza la Maaskofu ambapo Pengo naye ni askofu wa kawaida tu.

Kuwa Kardinali ni cheo unachopewa na Papa katika kusimamia Jimbo kuu la kanisa katoliki

Kuna nchi zina ma cardinal zaidi ya mmoja
 
Kwa kuwa Askofu Seveline Niwemugizi ameamua kujiingiza kwenye Siasa sasa twende kazi. Niwemugizi hana usafi wowote wa kumfanya awe msemaji wa Waumini wa Ki-Katoliki Tanzania kwa sababu zifuatazo:

1. Ametumia mabavu kuhamisha Makao Makuu ya Jimbo kutoka Rulenge kwenda Ngara, bila sababu za msingi na bila ridhaa za waumini. Huku ikisadikika ameamua kufanya hivyo ili kujisogeza karibu na Biharamuro alikozaliwa na kuchukua sadaka na misaada ya wahisani kwa maendeleo yake binafsi na kumuacha Mungu.

2. Jimbo limemshinda kuongoza kwa kutumia Roho ya Ki-Mungu na kuongoza Kondoo wa Mungu, Bali amesababisha mitafaruku ya Kiroho Jimboni. Mapadri wameamua kuwa na Ndoa zisizotambulika na kuongeza watoto mitaani, kama atabisha nitawataja ili kuweka mambo sasa.

3. Misaada yote inayotolewa na wahisani kwaajiri ya kusaidia watoto Yatima wanaolelewa na Masisita aliamua ipitie kwake, wahusika hupata kiasi kidogo sana au wakati mwingine hawapati kabisa.

4. Ameshindwa kumheshimu Mkuu wake Pengo! anafikiri sisi waumini tutamfuata nani?.

5. Alisababisha Dr. Mbasa, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Biharamuro kukimbia Hospitali ya Rulenge na kukimbilia Biharamuro huku akijua ndiye aliyekuwa Dr. tegemeo katika Hospital hiyo.

Mwisho niseme ya Mungu tumpe Mungu na ya Kaisali apewe Kaisali.
 
Inategemeana kanisa linasimama kama nani kwa wakati huo...kuna wakati kanisa linasimama kama nabii...kwa hiyo linaweza kukwambia kabisa fanya hivi.

Mbona kanisa linapinga kabisa ushoga...tena waziwazi...mbona haliachi watu eti waamue

Kanisa linao uwezo wa kuzuia pale linapoona watu wanapotoka

.... Umenena Mkuu.!
 
Kwa kuwa Askofu Seveline Niwemugizi ameamua kujiingiza kwenye Siasa sasa twende kazi. Niwemugizi hana usafi wowote wa kumfanya awe msemaji wa Waumini wa Ki-Katoliki Tanzania kwa sababu zifuatazo:

1. Ametumia mabavu kuhamisha Makao Makuu ya Jimbo kutoka Rulenge kwenda Ngara, bila sababu za msingi na bila ridhaa za waumini. Huku ikisadikika ameamua kufanya hivyo ili kujisogeza karibu na Biharamuro alikozaliwa na kuchukua sadaka na misaada ya wahisani kwa maendeleo yake binafsi na kumuacha Mungu.

2. Jimbo limemshinda kuongoza kwa kutumia Roho ya Ki-Mungu na kuongoza Kondoo wa Mungu, Bali amesababisha mitafaruku ya Kiroho Jimboni. Mapadri wameamua kuwa na Ndoa zisizotambulika na kuongeza watoto mitaani, kama atabisha nitawataja ili kuweka mambo sasa.

3. Misaada yote inayotolewa na wahisani kwaajiri ya kusaidia watoto Yatima wanaolelewa na Masisita aliamua ipitie kwake, wahusika hupata kiasi kidogo sana au wakati mwingine hawapati kabisa.

4. Ameshindwa kumheshimu Mkuu wake Pengo! anafikiri sisi waumini tutamfuata nani?.

5. Alisababisha Dr. Mbasa, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Biharamuro kukimbia Hospitali ya Rulenge na kukimbilia Biharamuro huku akijua ndiye aliyekuwa Dr. tegemeo katika Hospital hiyo.

Mwisho niseme ya Mungu tumpe Mungu na ya Kaisali apewe Kaisali.

Ongea yoote lakini uamuzi rasmi wa Kanisa..ni kura ya HAPANA kwa Katiba Haramu ya Chenge
 
Kwa kuwa Askofu Seveline Niwemugizi ameamua kujiingiza kwenye Siasa sasa twende kazi. Niwemugizi hana usafi wowote wa kumfanya awe msemaji wa Waumini wa Ki-Katoliki Tanzania kwa sababu zifuatazo:

1. Ametumia mabavu kuhamisha Makao Makuu ya Jimbo kutoka Rulenge kwenda Ngara, bila sababu za msingi na bila ridhaa za waumini. Huku ikisadikika ameamua kufanya hivyo ili kujisogeza karibu na Biharamuro alikozaliwa na kuchukua sadaka na misaada ya wahisani kwa maendeleo yake binafsi na kumuacha Mungu.

2. Jimbo limemshinda kuongoza kwa kutumia Roho ya Ki-Mungu na kuongoza Kondoo wa Mungu, Bali amesababisha mitafaruku ya Kiroho Jimboni. Mapadri wameamua kuwa na Ndoa zisizotambulika na kuongeza watoto mitaani, kama atabisha nitawataja ili kuweka mambo sasa.

3. Misaada yote inayotolewa na wahisani kwaajiri ya kusaidia watoto Yatima wanaolelewa na Masisita aliamua ipitie kwake, wahusika hupata kiasi kidogo sana au wakati mwingine hawapati kabisa.

4. Ameshindwa kumheshimu Mkuu wake Pengo! anafikiri sisi waumini tutamfuata nani?.

5. Alisababisha Dr. Mbasa, ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Biharamuro kukimbia Hospitali ya Rulenge na kukimbilia Biharamuro huku akijua ndiye aliyekuwa Dr. tegemeo katika Hospital hiyo.

Mwisho niseme ya Mungu tumpe Mungu na ya Kaisali apewe Kaisali.

Nyie ndio kama yule Jamaa aliyemuua Yohane Mbatizaji kisa tu hataki ukweli

Manabii katika kanisa hua hawapindishi maneno wanakupa ukweli

Walimpa Ukweli Mfalme Daudi baada ya kutembea na mke wa Urio.......walimwambia live kuwa umekosea na Mungu atakuadhibu

Kanisa kama nabii lina haki zote za kuelekeza
 
Hiv ni kwann hii serikal ya ccm inashinikiza kura ya ndio kwa hii katiba,wajib wao ni kuwaambia watu,waisome kwa makin na kuielewa,kisha wakafanya maamuz yao,WAACHE UOVU WAO,TUMEAMKA,YATOSHA SASA,BY POWER BY FORCE KITAELEWEKA
 
Kanisa linapaswa kuwatenga waumini na uharamia wowote..Kutokuwaambia wazi waumini wachukue njia ipi ni unafiki.

Kwani si unaambiwa wazi kufanya uzinzi ni kosa? Kwanini usiambiwe chagua mwenyewe kufanya uzinzi au kuacha!

Asante TEC...Kura ni HAPANA kwa Katiba Haramu

Mkuu nilikuwa na refer kwenye issue ya kisiasa na kidini, hili la uzinzi ni 100% linahisiana na dhambi kidini, lakini hili la katiba linahusiana zaidi na mwenendo wa kisiasa. ni kama kuzuia kodi kwa kuwa kuna ufisadi au kukataa kuchagua kiongozi fulani wa kisiasa.
 
[QUOTE=Ng'azagala; Kuna ubaya gani kama F hafai? Yohana alimwambia herodi hapana uzinzi! pengo ana hofu ya kukatwa kichw
 
Inategemeana kanisa linasimama kama nani kwa wakati huo...kuna wakati kanisa linasimama kama nabii...kwa hiyo linaweza kukwambia kabisa fanya hivi.

Mbona kanisa linapinga kabisa ushoga...tena waziwazi...mbona haliachi watu eti waamue

Kanisa linao uwezo wa kuzuia pale linapoona watu wanapotoka

ushoga siyo siasa ni zaidi katika maadili ya binadamu
 
.... Wataanza Kusema Askofu Niwemugizi Eti Siyo Mtanzania, Hahaha. Hakyanani Tutakufa Naye

Tatizo ni kuwa watu wanaitwa maaskofu wengine wameenda shule ya nguvu, na wanaweza kuwaongoza wananchi kufanya uamuzi sahihi kwa ajili ya maslahi ya nchi. Something which may not be good for mafisadi.
 
Back
Top Bottom